ntemintale
JF-Expert Member
- Sep 6, 2016
- 952
- 1,872
Kununua ndege kwa cash na kulipa faini kule canada ilikoshikiliwa bombardier, bila kuidhinishwa na Bunge. Na tena bila kufuata utaratibu wa manunuzi. Kwa hiyo kuna cha juu.
Kujenga airport kijijini Chato nje ya bajeti na bila kufuata taratibu za ujenzi.
Kujenga ofisi ya TRA ghorofa moja kijijini.
Kununua wabunge na madiwani wa Upinzani.
Kusafiri safiri huku na kule na limsafara likubwa, kwenda kufungua viwanda vilivyokuwepo tangu enzi za mwalimu, kwa lengo la kutudanganya wananchi.
Zilizobaki wamegawana Sizonje, Bashite na yule PS wa Wizara ya Fedha. Tena wamegawana cash kabisa coz wao ni watu wa cash tu.
Kujenga airport kijijini Chato nje ya bajeti na bila kufuata taratibu za ujenzi.
Kujenga ofisi ya TRA ghorofa moja kijijini.
Kununua wabunge na madiwani wa Upinzani.
Kusafiri safiri huku na kule na limsafara likubwa, kwenda kufungua viwanda vilivyokuwepo tangu enzi za mwalimu, kwa lengo la kutudanganya wananchi.
Zilizobaki wamegawana Sizonje, Bashite na yule PS wa Wizara ya Fedha. Tena wamegawana cash kabisa coz wao ni watu wa cash tu.