chizcom
JF-Expert Member
- Jul 31, 2016
- 7,581
- 15,722
Kiukweli wajapani naweza sema ni watu wa dunia nyengine kuanzia maisha yao mpaka teknolojia zao.
Sisi ndio tunafikiria kuleta SGR wao wanafikilia kutengeneza treni itakayo weza kufika kwa mda mfupi.
Spidi ya treni ni 7600km/h na unaweza kufanya kazi dar es salaam ukaishi singida.
Kilicho ni furahisha kuhusu hizi treni jinsi miundo mbinu yake na mifumo ya teknolojia.
Kama nchi yetu ingekuwa na uwezo wa kufanya haya basi tusingejikita sana na ndege za ndani na kuachia kampuni binafsi
Sisi ndio tunafikiria kuleta SGR wao wanafikilia kutengeneza treni itakayo weza kufika kwa mda mfupi.
Spidi ya treni ni 7600km/h na unaweza kufanya kazi dar es salaam ukaishi singida.
Kilicho ni furahisha kuhusu hizi treni jinsi miundo mbinu yake na mifumo ya teknolojia.
Kama nchi yetu ingekuwa na uwezo wa kufanya haya basi tusingejikita sana na ndege za ndani na kuachia kampuni binafsi