Profesa
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 903
- 627
ni kituo cha mwananchi tabata.
Treni ameligonga kwa makusudi gari lilikuwa limekwama kutokana na traffic jam inayosababishwa na marori maeneo hayo ya relini.
Mara baada ya kuligonga gari ikiwa mwendo
mdogo kabisa lilirudi nyuma kuchukua abiria na kuendelea na safari.n
gari hiyo aina ya defender iliachwa nyanganyanga
nimekuwa nikiudhiwa sana na wajinga wanaokupigia honi unapoacha nadfasi kwenye kivuko cha reli au njia panda! Udereva wa kupewa leseni bila kusomea ndio tatizo! Ni ujinga na upumbavu wa hali ya juu na umesababisha vifo vya wengi bila sababu. Akili yako inakutuma ukikuta nafasi hata kama ni relini au njia panda basi unaziba nafasi badala ya kuacha mwanya ambao ni salama kwako na kwa wengine! Na iwe fundisho kwa wote!