Goodrich
JF-Expert Member
- Jan 29, 2012
- 2,091
- 1,179
Ni kituo cha mwananchi tabata.
Treni ameligonga kwa makusudi gari lilikuwa limekwama kutokana na traffic jam inayosababishwa na marori maeneo hayo ya relini.
Mara baada ya kuligonga gari ikiwa mwendo
mdogo kabisa lilirudi nyuma kuchukua abiria na kuendelea na safari.
Gari hiyo aina ya defender iliachwa nyanganyanga
NB
Tunasema treni imegonga gari kwa kuwa kila aliyekuwepo aliamini kwamba treni ingesimama au ilipaswa kusimama kwanza kuchukua abiria badala ya kuwapita abiria kwenda kugonga gari.
Aidha kila aliyeshuhudia aliona wazi kuwa kitendo hicho ni cha makusudi hasa ukizingatia treni ilikuwa mwendo mdogo na barabara inaonekana tokea mbali.
Treni ameligonga kwa makusudi gari lilikuwa limekwama kutokana na traffic jam inayosababishwa na marori maeneo hayo ya relini.
Mara baada ya kuligonga gari ikiwa mwendo
mdogo kabisa lilirudi nyuma kuchukua abiria na kuendelea na safari.
Gari hiyo aina ya defender iliachwa nyanganyanga
NB
Tunasema treni imegonga gari kwa kuwa kila aliyekuwepo aliamini kwamba treni ingesimama au ilipaswa kusimama kwanza kuchukua abiria badala ya kuwapita abiria kwenda kugonga gari.
Aidha kila aliyeshuhudia aliona wazi kuwa kitendo hicho ni cha makusudi hasa ukizingatia treni ilikuwa mwendo mdogo na barabara inaonekana tokea mbali.