Trend Reading: Salum Mwalimu, Mb. Mtarajiwa, Kinondoni!. Hata Wana CCM Wasioendekeza Ujinga, Watamchagua!.

Wakati unaiponda na kuhoji haki ya kuhama chama, kimantiki una tetea haki ya raia kugombea popote katika nchi hii. Kua makini na swala la haki ya mtu.
 
Cuf ipi? Cuf lipumba aka cufccm au cuf original?
 
Unge declare interest kwamba we ni Ccm na umeshindwa kukubali kua utatakiwa uchague Cdm kwa ujinga mliofanyian uko ndani ya chama

Wewe ni nani mpaka unipangie cha kufanya?

Mpumbavu nini? Jikite kwenye maoni siyo assumptions kuhusu mtoa maoni.

Who's Mwalimu mpaka tulazimishane kumchagua?
 
Wakati unaiponda na kuhoji haki ya kuhama chama, kimantiki una tetea haki ya raia kugombea popote katika nchi hii. Kua makini na swala la haki ya mtu.
Nadhani panapo tumika pesa au aina ingine ya kishawishi cha kumfanya mtu aamue basi neno haki huwa alitumiki, haki ni pale tu penye free will decision
 
Kwa style ile ya uchaguzi tuliona kwenye udiwani,tusitegeme ushindi kwenye ubunge kuna mambo mengi bado hayako sawa kwenye utaratibu wa chaguzi

Ova
 
Binafsi huwa ninakukubali sana Paskali

Bila shaka wana-Siha na wana-Kino wamekusoma na nnavyowajua hawawezi kuukubali ujinga huo wa mchana kweupe.
 
Paskali umepiga chini ya mkanda.....

Naelewa hiyo hasira na dissatisfaction....lkn kumwita mtu mala..... wa kisiasa...haijatulia...

Wewe ni muungwana, naamini utanielewa....
 
Hawa jamaa, tayari walikuwa wabunge, kwanini walijiuzuru, kisha, wanarudi kwa watu wale wale, kuwaomba wawape tena nafasi ile ile, walioikataa, tena kwa gharama kubwa, kutoka kwa watu wale wale,waliomuheshimu, wkamkubali, akawakataa! ! Sasa, anarudi kwa wale wale, na kuwatia gharama mpya na kubwa! (Chaguzi mpya,kwa kodi yao! Uzalendo upo wapi hapo ?
MASIKINI MAMA TZ. WANAO TUMEAMUA KUKUHUJUMU NA KUJIMALZA KIASI HIKI?
 
Kwahiyo kuna mtu kajimililisha mkoa sio? Kwa huu ujinga wako tu ilioandika hapo ndugu zako wangetakiwa waanze mchakato wa kupata kitanda milembe
Ww hujijui kuwa tayari ni mwendawazim?najua unapenda pesa za kupewa ili uwe msaliti wa taifa lkn ngoja nikwambie iko siku utakuja jua nn maana ya haki 2akati huo utakuwa ushachelewa,pole na ujinga wako mwanakwenda ww.
 
Ukweli Kinondoni ubunge huu Ukawa tayari wameshachukua. Hakuna wa kuwazuia.Ushindi uko wazi

Kinondoni ni jimbo la wasomi. Watu wenye uelewa na ni katika majimbo ambayo hayatakagi ujinga.
Ccm wamefanya utoto kwa kudhani watanzania bado ni wajinga na wapumbavu hata wakimleta mwizi au kibaraka wa lipumba wata mchagua hapana.
Nina uhakika ccm wenyewe wa kinondoni nao hawatakubali ujinga huu wa kumteua mbunge ali acha mwenyewe kwa sababu za kijinga.
Ccm nina amini hawa kubali kumpa kura mtu ambaye amesababisha 300m zitumike kurudia uchaguzi.

ONYO au TAHADHARI
Kinondoni ni eneo la Bashite....mastermind wa hila hivyo mjiandae kugombana naye Polisi wana muogopa kuliko Wanavo muogopa Magu. Kazi haitakuwa rahisi , ushindi sio kura tu....na mkitaka kupima ubabe wake kabla ya 2020 basi ni huu uchaguzi wa kinondoni...muwe tayari kwa vipigo, kesi za kugushi,na kutekwa
 
Siyo tu hasiruhusiwe kugombea kwenye uchaguzi wa marudio bali iwe mwisho kwake kugombea kwenye nafasi husika, mathalani mbunge akijiuzulu hasigombee tena ubunge katika ardhi ya Tanzania.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…