Tetesi: Trend Reading: Mabadiliko Madogo ya Baraza la Mawaziri Yananukia!. Head-hunting Imeishaanza!.

Ummy mwalimu ana kosa gani, kwa kurekebisha kauli yake kuwa alikuwa anatania msifyatue watoto wengi fuateni uzazi wa mpango
 
Kigwangala anatakiwa awe full minister yuko vizuri.
Anashindwa kufanya kazi kwa sababu ya mdada atamkana faster. Chezea NMR wewe???
 
M
Jana baada ya teuzi mbili za wabunge wa bunge la JMT, ni wazi uteuzi wa Prof. Palamagamba Kabudi inaashiria baraza jipya la mawaziri kubadilishwa kuanzia sasa. Prof. Kabudi ni gwiji wa sheria na Mwalimu wa chuo kikuu cha Dar es Salaam. Kwa uteuzi wake, tayari kuna tetesi kuwa baadhi ya mawaziri watapigwa chini ama kubadilishwa katika wizara zingine. Hii ni kutokana na utendaji wao duni, na kushindwa kwenda na kasi ya Rais Dr. John Pombe Magufuli. Ambaye kasi yake ya kiutendaji imevunja rekodi mpaka sasa...

Wanaotarajiwa kupumnzishwa katika mabadiliko haya ni.......

1. Prof. Mpango
2. Eng. Lwenge
3. January Makamba
4. George Simbachawene
5. Ummy Mwalimu
6. Mwijage
7. Dr. Mwakyembe
8. Prof. Maghembe

Manaibu....
1. Kingwangala
2. Ramo Makani
3. Stela Manyanya

Sura mpya zinategemewa kuingia!...
Mpango sio prof.Hata hivyo ikiwa atafanya km ulivyosema hayo yarakuwa mabadiliko makubwa mno ktk baraza na sio mabadiliko madogo km ulivyoyaita
 
Kwani akimuundia wizara yake Professor kuna shida gani? Si Katiba inamuruhusu badala ya kufanya mabadiliko ya baraza zima la mawaziri?
 
Wanabodi,

Trend reading sio utabiri, bali ni matumizi ya analitical na logical thinking kwa kila likifanyika jambo, huangalii tuu jambo lililofanyika bali unajiuliza the motive behind kufanyika kwa jambo fulani.
Jambo lililofanyika leo ni hili

Kufuatia uteuzi huu, then, this is a sign, very soon, end ikawa, kutafanyika mabadiliko madogo ya baraza la mawaziri!.

Na kama hili litafanyika, nakiri, Prof. Kabudi ni one of the gifted best brains we have hapa nchini kwetu kwenye tasnia ya sheria.

NB. Hakuna direct propotionality na co relation between the best brains kwenye academia na the best result oriented performance kwenye nafasi za utendaji!.

Swali linabaki nani ambao wame proove kuwa non performers hivyo wame flop na wanapaswa kuondoka, na nani wataingia mmoja wao akiwa ni huyu mteuliwa mpya?!.
Congratulation wateuliwa, we wish you all the best!.
NB. Pia sio lazima kwa 100% uteuzi wa Prof. Kabudi ni ili kumpa uwaziri, inawezekana ni kumuingiza kwenye lile jengo kwenda kusaidia kile kichwa kianafunzi chake maana kiukweli kimepwaya katika tasnia ya mabishano ya kisheria ndani ya jengo haswa unapokutana na hoja kichaa za wale vichaa wa sheria, hivyo akashauriwa aingize kichwa kuongezea uzito kupunguza makali ya kupelekwa puta!.
Lets just wait and see!.
Paskali

Hii chini ni baadhi tuu ya trend reading zangu.
Mgombea wa Urais Kwa tiketi ya CCM, 2015 "Could Be" John Pombe ...
Dr. Shein Mfute Kazi Haraka, Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar Kabla ...
Nimemkubali Sana DC Makonda, anafaa kuwa Mkuu wa Mkoa Dar es ...
Pemba Chini ya CCM kuneemeka au Kujutia Kuichagua CUF Chaguzi ...
Licha ya kukubalika, Jina la Lowassa halitafika hata CC! | Page 9 ...
Yajue Makundi 10 Top Ten wa CCM, Ambamo Watatoa Top 5, Top 3 na ...

@pasco

Kuna yule Jamaa aliyekana Thesis yake Juu ya Muundo wa Serikali tatu iliyompatia PHD.
Pia Huenda Bwana Yule Sasa anataka ku Incorporate Maoni ya Tume ya Jaji Jose kwenye Serikali yake.
Huenda Proff akachukua Nafasi ya yule Jamaa aliyeikana Thesis yake Kisa Posho za BMK.
Ila Siamini Kabisa kama Yule Mbaba Mwenye Bint yake Mjengoni eti na Yeye ataingia kwenye Cabinet.
Mungu epushia Mbali

Malipo ni Hapa Hapa Duniani
 
Baaada ya wabunge wateule kuapishwa hiyo siku, kitakachofuatia soon kwenye magazeti kama vichwa vya habari itakuwa hiviii:-

1. Palamagamba Kabudi aula wizara ya sheria na katiba.

2. Faru Johari amuondoa profesa Ma-hoe...!

3. Faru Johari aondoka na ma-Hoe...!

4. Maliasili wapata waziri msomi profesa...!

5. Ngosha Amtemesha Ngese Profesa Ma-Hoe.....!

6. Profesa Palamagamba Kabudi apelekwa maliasili kumtafuta Faru Johari....!

7. Nk, Nk.....!

Hahahah, Huu ni uchochezi wa Kiwango cha Lami
 
Kwa vyovyote vile uteuzi huu ni ishara kwamba Profesa Maghembe ajiandae ajiandae....
Tetesi za ndani sana zinasema Dr.Mwakyembe anakwenda Maliasili na Utalii, Professa Kabudi anakwenda kuchukua Sheria na Katiba.

From very very reliable source.
Mnapopanga list zenu huko, mtashangaa atakachokuja nacho mkubwa. Kitabia voingozi wengi hawapendi ku- prove media right kwenye suala la teuzi.
 
Lengo la Uteuzi wa leo alikuwa ni Prof. Kabudi, sasa ili kumsindikiza kabudi Bungeni ikabidi atafutwe na kupatikana kwa huyu Bulembo ili wananchi wasitafakari kwa haraka the motive behind na mlengwa hasa, kwa hiyo Mlengwa hakuwa Bulembo bali Kabudi.


Nadhani Prof. Kabudi atakuwa waziri wa Nishati na madini ili apambane na mikataba ya akina IPTL, Symbion nk. au yawezekana Mh. Rais amenasa hujuma za mwakyembe hivyo anataka kumuondoa.
Kama ni mbobezi kwenye sheria namna bora ya yeye kulitumikia Taifa ni kupewa cheo cha siasa au cha utendaji? Sina uhakika kama mawaziri ni signatories wa mikataba inayofungwa katika wizara zao bali watendaji kama Makatibu wakuu ndio signatory.
 
Paskali, Mwakyembe ana mapungufu gani? Anaijua sheria ila anacheza ngoma ya CCM
Labda kama anataka kuingia bungeni kupambana na mahili wa sheria wa upinzani. Anaweza akawa academician mzuri but not performer mzuri ....................
unajua ninyi watu mnashangaza sana, hivi kabudi awe waziri wa sheria, anaijua lini sheria? anajua theory tu, practice hajawahi, hana hata mhuri, hajawahi kuappear kwenye kesi yeyote mahakamani zaidi ya kuwa mtazamaji tu, uanasheria unahitaji mtu aende mahakamani huyo ndiye anayeijua sheria na anajua mazingira ya sheria, hao ambao hawajawahi kwenda mahakamani hawajui ni sawa tu na interns. usibabaishwe na mtu aanaitwa profesa wa sheria, hata mwakyembe mwenyewe hajapractice sheria, ni wale wale tu, ni kesi gani mwakyembe alishinda, lawfirm gani aliyonayo, wanasheria tunaotakiwa kuwapa nafasi ni wale wanaojua mazingira ya kazi mahakamani, procedure za mahakamani, practice ya sheria ugumu wa wafanyakazi sector hizo na urahisi wake etc, mtu amekuwa anafundisha tu sheria pale mlimani hajawahi hata kupitia bar examination utamwitaje mwanasheria? hebu wanasheria wenzangu tusaidiane. sheria sio kama fani zingine za udaktari etc, sheria inahitaji practice ndio maana hata ukifundisha miaka 50 kama haujapractice hujui kitu wewe ni sawa tu na fresh from school!

tatizo la nchi yetu inaamini mtu akiwa doctor, professor etc ndiye anafanya kazi vizuri. kumbe kuna watu hawana vyeti hivyo lakini kwa practice wanao uwezo mkubwa sana kuliko hata professor. mbona hao madoctor na maproff tukipambana nao mahakamani sisi watu wa kawaida tunawashinda na kuwagaragaza kabisa.....akina prof fimbo, dr lamwai, malecturer wote hapo mlimani na kokote kule tunapambana nao lakini tunawashinda mahakamani.....na wakati mwingine unawaona kabisa wanaamini wao kwasababu wanafundisha theory za sheria (ambazo zinabadilika kila wakati kutokana na case laws na updated laws), unamsambaratisha kwa hoja za kisheria hadi akasimulie na wanafunzi wake. acheni hizo.
 
Wanabodi,

Trend reading sio utabiri, bali ni matumizi ya analitical na logical thinking kwa kila likifanyika jambo, huangalii tuu jambo lililofanyika bali unajiuliza the motive behind kufanyika kwa jambo fulani.
Jambo lililofanyika leo ni hili

Kufuatia uteuzi huu, then, this is a sign, very soon, end ikawa, kutafanyika mabadiliko madogo ya baraza la mawaziri!.

Na kama hili litafanyika, nakiri, Prof. Kabudi ni one of the gifted best brains we have hapa nchini kwetu kwenye tasnia ya sheria.

NB. Hakuna direct propotionality na co relation between the best brains kwenye academia na the best result oriented performance kwenye nafasi za utendaji!.

Swali linabaki nani ambao wame proove kuwa non performers hivyo wame flop na wanapaswa kuondoka, na nani wataingia mmoja wao akiwa ni huyu mteuliwa mpya?!.
Congratulation wateuliwa, we wish you all the best!.

Kwa upande wa uteuzi wa Bulembo, ni kukamilisha tuu taratibu za CCM kwa wenyeviti wa jumuiya zake zote za chama pía kuwa ni wabunge.

NB. Pia sio lazima kwa 100% uteuzi wa Prof. Kabudi ni ili kumpa uwaziri, inawezekana ni kumuingiza kwenye lile jengo kwenda kusaidia kile kichwa kianafunzi chake maana kiukweli kimepwaya katika tasnia ya mabishano ya kisheria ndani ya jengo haswa unapokutana na hoja kichaa za wale vichaa wa sheria, hivyo akashauriwa aingize kichwa kuongezea uzito kupunguza makali ya kupelekwa puta!.
Lets just wait and see!.
Paskali

Hii chini ni baadhi tuu ya trend reading zangu.
Mgombea wa Urais Kwa tiketi ya CCM, 2015 "Could Be" John Pombe ...
Dr. Shein Mfute Kazi Haraka, Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar Kabla ...
Nimemkubali Sana DC Makonda, anafaa kuwa Mkuu wa Mkoa Dar es ...
Pemba Chini ya CCM kuneemeka au Kujutia Kuichagua CUF Chaguzi ...
Licha ya kukubalika, Jina la Lowassa halitafika hata CC! | Page 9 ...
Yajue Makundi 10 Top Ten wa CCM, Ambamo Watatoa Top 5, Top 3 na ...

Kusema kweli nimekukubali sana baada kusoma trend reaing zako za nyuma. Hakika wewe ni msomi wa kuaminika kabisa. Unaitumia taaluma yako kwa faida, umenitamanisha kurudi shule japo ni jioni.
 
unajua ninyi watu mnashangaza sana, hivi kabudi awe waziri wa sheria, anaijua lini sheria? anajua theory tu, practice hajawahi, hana hata mhuri, hajawahi kuappear kwenye kesi yeyote mahakamani zaidi ya kuwa mtazamaji tu, uanasheria unahitaji mtu aende mahakamani huyo ndiye anayeijua sheria na anajua mazingira ya sheria, hao ambao hawajawahi kwenda mahakamani hawajui ni sawa tu na interns. usibabaishwe na mtu aanaitwa profesa wa sheria, hata mwakyembe mwenyewe hajapractice sheria, ni wale wale tu, ni kesi gani mwakyembe alishinda, lawfirm gani aliyonayo, wanasheria tunaotakiwa kuwapa nafasi ni wale wanaojua mazingira ya kazi mahakamani, procedure za mahakamani, practice ya sheria ugumu wa wafanyakazi sector hizo na urahisi wake etc, mtu amekuwa anafundisha tu sheria pale mlimani hajawahi hata kupitia bar examination utamwitaje mwanasheria? hebu wanasheria wenzangu tusaidiane. sheria sio kama fani zingine za udaktari etc, sheria inahitaji practice ndio maana hata ukifundisha miaka 50 kama haujapractice hujui kitu wewe ni sawa tu na fresh from school!

tatizo la nchi yetu inaamini mtu akiwa doctor, professor etc ndiye anafanya kazi vizuri. kumbe kuna watu hawana vyeti hivyo lakini kwa practice wanao uwezo mkubwa sana kuliko hata professor. mbona hao madoctor na maproff tukipambana nao mahakamani sisi watu wa kawaida tunawashinda na kuwagaragaza kabisa.....akina prof fimbo, dr lamwai, malecturer wote hapo mlimani na kokote kule tunapambana nao lakini tunawashinda mahakamani.....na wakati mwingine unawaona kabisa wanaamini wao kwasababu wanafundisha theory za sheria (ambazo zinabadilika kila wakati kutokana na case laws na updated laws), unamsambaratisha kwa hoja za kisheria hadi akasimulie na wanafunzi wake. acheni hizo.


Kwa hiyo ulitaka apewe yule sijui Kibatali wa chadema?
 
Back
Top Bottom