Mkuu mwenyewe kakubali ajiunge bt timu yake na dau bado halijafika kule, pia ManU nao wameonesha interest ya kumchukua huyu jamaa at last min...hiyo habari yako ni ya zaidi masaa 5 nyuma...haipo confirmed, hata kama amesha-undergo 2 medical check-up, germany na uswis but mpaka aishike jezi ya emirates ndipo nitaamini...manake nitarefresh pages mpaka saa 5 dirisha litakapofungwa rasmi...!! REfer transfer ya Suarez kwenda arsenal, mwenyewe alikubali kabisa bt finally...patupu
Marouane Fellaini tayari amewasilisha barua ya kutaka kuhama Everton, na ameondoka klabuni hapo kwa kutimua vumbi. hatarajiwi kutia mguu tena.
goal.com sometimes mizinguo, kwa mfano wao wanaonyesha Gareth Bale kasajiliwa kwa paund 100m while super sports wanaonyesha ni paund 86m. Na hii 86 ndo sahihi.
Marouane Fellaini tayari amewasilisha barua ya kutaka kuhama Everton, na ameondoka klabuni hapo kwa kutimua vumbi. hatarajiwi kutia mguu tena.
goal.com sometimes mizinguo, kwa mfano wao wanaonyesha Gareth Bale kasajiliwa kwa paund 100m while super sports wanaonyesha ni paund 86m. Na hii 86 ndo sahihi.
Mesut Ozil atavaa jezi namba 11.