Sijui ni kwanini ma manager wengi wa timu kubwa za Ulaya hususan wanapenda kufanya usajili dakika za lala salama tena masaa 24 ya mwisho kabla ya kufungwa kwa dirisha la usajili.
Sasa kama Wenger anatoa paundi 42 milioni kumnunua Mesut Ozil dakika za lala salama wakati kwa pesa hiyo angeweza kufanya biashara kwa utulivu kabisa kama angekuwa serious tangu mwanzo.
maskini ozil katia huruma kwa kuchagua timu ya arsenal ambayo mda wote miaka nenda rudi hupigania kuwemo kt top 4 na c kupigani ubingwa,
Kuna tetesi huenda akahama JanuariMata vipi jamani??