Mesut Ozil (24) amekamilisha makubaliano na Arsenal kwa dau la £42m na mshahara wa karibu £150,000 kwa wiki.
View attachment 110238
Kwanini Mesut Ozil? Mambo yake yanatisha mnooo. check hapa:
Mesut Ozil Best Skills & Tricks Ever HD - YouTube
Hii ya OZIL siiamini mpaka nimuone ameshikilia jezi ya emirates...la sivyo is just silly hoax
...baada ya kumpata Mesut Ozil, Wenger amekamilisha uhamisho wa kipa Emiliano Viviano (27) kwa mkopo kutoka Palermo. Viviano anadakia pia timu ya taifa ya Italia.
maskini ozil katia huruma kwa kuchagua timu ya arsenal ambayo mda wote miaka nenda rudi hupigania kuwemo kt top 4 na c kupigani ubingwa,
ManUtd nao wapo bize kumsajili 'mtu' ila hawataki wapambe wamjue hadi mambo yatakapokamilika ....
View attachment 110265
hapa wenger na aseno wamelamba dume, Ozil ni jembe
Dili imeshatangazwa rasmi
Official: Mesut Ozil has sealed a spectacular €47 million move to Arsenal after signing a five-year contract.
Source mkuu...coz hata skynews hawajaconfirm bado...
maskini ozil katia huruma kwa kuchagua timu ya arsenal ambayo mda wote miaka nenda rudi hupigania kuwemo kt top 4 na c kupigani ubingwa,
Habari za goal.com hatuzihitaji...coz itsnot official news!! Mara nyingi wanachemkaga hawa jamaa...is Not Official source of News et all