Safari_ni_Safari
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 23,265
- 17,134
Duh huyu jamaa kila nikimwona nabaki nacheka tu.
Kwa nini mkuu? Huyu ni si kazaliwa 1997? Kifaa kwa Wenger hiki!!
Duh huyu jamaa kila nikimwona nabaki nacheka tu.
Wekeni na usajili wa ligi ya VPL
ManUtd imejibu mapigo ya Chelsea kwa kukamilisha usajili wa Luke Shaw kwa dau la £40m, kwa mkataba wa miaka 5 na mshahara wa £160,000 kwa wiki.