chumvichumvi
JF-Expert Member
- May 6, 2010
- 1,207
- 312
Huyo Messi ataozea hapo barca hakuna club inayoweza kutoa £340m labda kama angekuwa ana uwezo wa kucheza peke yake uwanjani dhidi ya wapinzani 11 na kushinda gemu!!
huo ni myazamao wako ndugu ila wapo wanaomtaka na huwezi amini zaweza toka pesa zaidi ya izo