DIRISHA LA USAJILI LIPO WAZI HADI TAREHE 1 JULAI, 2014.
MANUTD
- Beki kinda Luke Shaw (19) ametua ManUtd kwa dau la £40m, kwa mkataba wa miaka 5 na mshahara wa £160,000 kwa wiki.
- Kocha van Gaal Louis anajipanga kumwaga kitita cha £20m kumnyakua kiungo wa Bayern, Bastian Schweinsteiger (29) baada ya kumkosa Thomas Muller (24).
- Kiungo Marouane Felaini (26) ametupwa sokoni, bei yake ni £12m. Hii ni baada ya kushindwa kung'ara tangu aliponunuliwa kwa £27.5m kutoka Everton.
- Kocha van Gaal ametua ManUtd kwa mkataba wa miaka 3, atasaidiwa na Ryan Giggs.
- Nemanja Vidic (32) atahamia InterMilan msimu ujao kwa uhamisho huru.
- Mshambuliaji wa Uruguay Edinson Cavani (27) anayechezea PSG amesema anatamani kutua Old Trafford msimu ujao. hii ni kutokana na kutoiva na kocha wake Laurent Blanc.
- Kinda Adnan Januzaj (19) anawindwa na PSG kwa ahadi ya mshahara mnono.
ARSENAL
- Mshambuliaji mtata Mario Balotelli (23) huenda akatua Arsenal kwa dau la £20m.
- Mshambuliaji Loic Remy (27) anasubiri ofa kutoka Arsenal, ingawa Tottenham wameshamwekea dau la £9m.
- Kocha Arsene Wenger (64) amesaini mkataba mpya wa kuifundisha Arsenal hadi mwaka 2017. Hii ni kufuatia mafanikio makubwa ya kuiwezesha Arsenal kucheza Champions League kwa misimu YOTE 17 aliyoifundisha Arsenal. Amepewa kitita cha £100m kwa usajili.
- Golikipa Lukasz Fabianski (29) anahamia Swansea kama mchezaji huru.
- Arsenal wanajipanga kumchukua kiungo Maraoune Fellaini (26) kutoka ManUtd kwa msimu ujao.
- Karim Benzema (26) anawindwa kwa dau la £40m.
- Beki Micah Richards (25) wa ManCity na mshambuliaji Wilfried Bony (25) wa Swansea wanawindwa kwa jumla ya £40m.
CHELSEA
- Beki anayepanda David Luiz (27) ametua PSG kwa kitita cha £40m, kwa mkataba wa miaka 5.
- Kiungo mshambuliaji Cesc Fabregas (27) ametua Chelsea kwa dau la £30m, kwa mkataba wa miaka 5! Atavaa jezi namba 4.
- Mshambuliaji anayetisha duniani kwa sasa Diego Costa (25) ametua Chelsea kwa dau la £32m.
- Frank Lampard (35) anaondoka Chelsea baada ya kunyimwa mkataba mpya.
- John Obi Mikel huenda akatua InterMilan msimu ujao.
LIVERPOOL
- Mshambuliaji wa England Rickie Lambert (32) ametua Liverpool kwa mkataba wa miaka 2 kwa dau la £4m.
- Kiungo anayetisha Adam Lallana (25) wa Southampton amepandishiwa dau hadi £25m.
- Real Madrid wametenga kitita cha £60m ili kumng'oa Luis Suarez (27).
MANCITY
- Full Beki JEMBE Bacary Sagna (31) amesaini mkataba wa miaka 3. Atalipwa £140,000 kwa wiki.
- Bei ya MKALI Lionel Messi (26) sasa ni £164m kwa mujibu wa dau lililotengwa na Mancity ili kumng'oa Barcelona.
- ManCity wametega dau la £53m kumng'oa kiungo kinda anayetisha duniani Paul Pogba (21) kutoka Juventus.
Mshambuliaji kinda wa Arsenal Joel Campbell (21) atarudi klabuni na kucheza ktk kikosi cha kwanza baada ya kung'ara ktk mechi dhidi ya Uruguay. Campbell alinunuliwa na Wenger mwaka 2011 kwa £1m tu, na amekuwa akicheza kwa mkopo nje ya Englanda kwa kunyimwa work permit. Ila sasa mambo yake yatanyooka baada ya kuonesha kiwango cha kutisha.
Karim Benzema (26) ameweka wazi kwamba anataka mshahara sawa na Gareth Bale - £135,000 kwa wiki, ama sivyo ataanza zake.
Gareth Bale ni mchezaji anayelipwa mshahara mkubwa zaidi ndani ya LaLiga, akizidiwa na Christian Ronaldo pekee.
DIRISHA LA USAJILI LIPO WAZI HADI TAREHE 1 JULAI, 2014.
MANUTD
- Beki kinda Luke Shaw (19) ametua ManUtd kwa dau la £40m, kwa mkataba wa miaka 5 na mshahara wa £160,000 kwa wiki.
- Kocha van Gaal Louis anajipanga kumwaga kitita cha £20m kumnyakua kiungo wa Bayern, Bastian Schweinsteiger (29) baada ya kumkosa Thomas Muller (24).
- Kiungo Marouane Felaini (26) ametupwa sokoni, bei yake ni £12m. Hii ni baada ya kushindwa kung'ara tangu aliponunuliwa kwa £27.5m kutoka Everton.
- Kocha van Gaal ametua ManUtd kwa mkataba wa miaka 3, atasaidiwa na Ryan Giggs.
- Nemanja Vidic (32) atahamia InterMilan msimu ujao kwa uhamisho huru.
- Mshambuliaji wa Uruguay Edinson Cavani (27) anayechezea PSG amesema anatamani kutua Old Trafford msimu ujao. hii ni kutokana na kutoiva na kocha wake Laurent Blanc.
- Kinda Adnan Januzaj (19) anawindwa na PSG kwa ahadi ya mshahara mnono.
ARSENAL
- Mshambuliaji mtata Mario Balotelli (23) huenda akatua Arsenal kwa dau la £20m.
- Mshambuliaji Loic Remy (27) anasubiri ofa kutoka Arsenal, ingawa Tottenham wameshamwekea dau la £9m.
- Kocha Arsene Wenger (64) amesaini mkataba mpya wa kuifundisha Arsenal hadi mwaka 2017. Hii ni kufuatia mafanikio makubwa ya kuiwezesha Arsenal kucheza Champions League kwa misimu YOTE 17 aliyoifundisha Arsenal. Amepewa kitita cha £100m kwa usajili.
- Golikipa Lukasz Fabianski (29) anahamia Swansea kama mchezaji huru.
- Arsenal wanajipanga kumchukua kiungo Maraoune Fellaini (26) kutoka ManUtd kwa msimu ujao.
- Karim Benzema (26) anawindwa kwa dau la £40m.
- Beki Micah Richards (25) wa ManCity na mshambuliaji Wilfried Bony (25) wa Swansea wanawindwa kwa jumla ya £40m.
CHELSEA
- Beki anayepanda David Luiz (27) ametua PSG kwa kitita cha £40m, kwa mkataba wa miaka 5.
- Kiungo mshambuliaji Cesc Fabregas (27) ametua Chelsea kwa dau la £30m, kwa mkataba wa miaka 5! Atavaa jezi namba 4.
- Mshambuliaji anayetisha duniani kwa sasa Diego Costa (25) ametua Chelsea kwa dau la £32m.
- Frank Lampard (35) anaondoka Chelsea baada ya kunyimwa mkataba mpya.
- John Obi Mikel huenda akatua InterMilan msimu ujao.
LIVERPOOL
- Mshambuliaji wa England Rickie Lambert (32) ametua Liverpool kwa mkataba wa miaka 2 kwa dau la £4m.
- Kiungo anayetisha Adam Lallana (25) wa Southampton amepandishiwa dau hadi £25m.
- Real Madrid wametenga kitita cha £60m ili kumng'oa Luis Suarez (27).
MANCITY
- Full Beki JEMBE Bacary Sagna (31) amesaini mkataba wa miaka 3. Atalipwa £140,000 kwa wiki.
- Bei ya MKALI Lionel Messi (26) sasa ni £164m kwa mujibu wa dau lililotengwa na Mancity ili kumng'oa Barcelona.
- ManCity wametega dau la £53m kumng'oa kiungo kinda anayetisha duniani Paul Pogba (21) kutoka Juventus.
Na katika pita pita yangu nimekutana na hili
Messi is so valuable to Barcelona that if he ever leaves, the club that buys him will have to pay a $340 million buy out
that means kidogo PSG wanaelekea kumuwin kuliko man city