Kassina
Senior Member
- Mar 3, 2018
- 133
- 133
Wakuu jana nilijitokeza kumshuhudia mheshimiwa Rais akiwa jijini Arusha, Uwanjani shehe amri abed Nilivutiwa na maonesho ya Askari wetu kwa Ujumla ila kitu kilichonivutia na Kutaka kukijua ni Uwepo wa kitu kama Trailer ndogo ivi halafu pembeni kuna Van yani aina gari je kifaa hiki kazi yake ni nini haswa? Kimeandikwa Caution High pressure

