Nelson Kileo
JF-Expert Member
- Oct 29, 2011
- 3,054
- 3,263
Hii imekua kama ni hali ya kawaida au labda ndio utaratibu sare za trafiki, kina dada wengi matrafiki wanavaa skirt either kwa mbele ziefunika magoti lakini unakuta kwa upande wa nyuma imenyanyuka na kuacha sehemu kubwa ya nyuma wazi, kupanda kutoka kwenye magoti na wengi wao huvaa fupi kabisa (KIMINI) kama hutaki kuamini na kama upo barabarani karibu na trafick jaribu kumuangalia tu utaona haya nnayoyasema.
Jaribuni kubadilika na tambueni kuwa nyie wa kuigwa na jamii kwa kutenda yaliyo mema .. .
Jaribuni kubadilika na tambueni kuwa nyie wa kuigwa na jamii kwa kutenda yaliyo mema .. .