Trafiki wa kike na vimini

Trafiki wa kike na vimini

tena usiombee huyo trafiki mwenyewe awe muumuni mzuri wa mkorogo unaweza kuomba asiruhusu gari za upande wako ziende ili uendelee kufaidi
 
ni shidaaaaaaaaaaa etii!mie mwenyewe nkiwaga na mzee wangu nataman nimzibe macho mda mwingne maana anavyotoaga mimacho loo!unaeza ukajikuta gari linagongwa etiii,wapunguze bhana vimino vyao!
 
Vimini vyao pia husababisha ajali kwa madereva wazembe wa kiume....
 
Amini nakwambia ukiona matrafic na mapolisi wa Brazil utajikuta umegonga aisee,,, kwanza wamesheni halafu vinguo vya kubana balaa, halafu kifuani sasa,,,,,, sasa ukute polisi wa kike shepu zito halafu pembeni kaweka pistol balaa zaidi

Weka picha.
 
Hii imemekua kama ni hali ya kawaida au labda ndio utaratubu sare za trafiki ..kina dada wengi matrafiki wanavaa skirt either kwa mbele ziefunika magoti lakini unakuta kwa uoande wa nyuma imenyanyuka na kuacha seheme kubwa ya nyuma wazi ..kupanda kutoka kwnye magoti .. na wengi wao huvaa fupi kabisa (KIMINI).. kama hutaki kuamini ..kama upo barabarani karibu na trafick jaribu kumuangalia tu utaona haya nnayoyasema .
jaribuni kubadilika na tambueni kuwa nyie wa kuigwa na jamii kwa kutenda yaliyo mema .. .

Waache watekeleze majukumu yao.
 
Haaaaa haaaaa.Kuna logic kwenye pointi yako.haa haa,umenianzishia siku vizuri leo!!!
 
Hii imemekua kama ni hali ya kawaida au labda ndio utaratubu sare za trafiki ..kina dada wengi matrafiki wanavaa skirt either kwa mbele ziefunika magoti lakini unakuta kwa uoande wa nyuma imenyanyuka na kuacha seheme kubwa ya nyuma wazi ..kupanda kutoka kwnye magoti .. na wengi wao huvaa fupi kabisa (KIMINI).. kama hutaki kuamini ..kama upo barabarani karibu na trafick jaribu kumuangalia tu utaona haya nnayoyasema .
jaribuni kubadilika na tambueni kuwa nyie wa kuigwa na jamii kwa kutenda yaliyo mema .. .

Naona wawe wanavaa kanzu.
 
hii imemekua kama ni hali ya kawaida au labda ndio utaratubu sare za trafiki ..kina dada wengi matrafiki wanavaa skirt either kwa mbele ziefunika magoti lakini unakuta kwa uoande wa nyuma imenyanyuka na kuacha seheme kubwa ya nyuma wazi ..kupanda kutoka kwnye magoti .. Na wengi wao huvaa fupi kabisa (kimini).. Kama hutaki kuamini ..kama upo barabarani karibu na trafick jaribu kumuangalia tu utaona haya nnayoyasema .
Jaribuni kubadilika na tambueni kuwa nyie wa kuigwa na jamii kwa kutenda yaliyo mema .. .

wana makalio makubwa!!
 
Back
Top Bottom