trafiki wa Bongo ni shidaaaaaaaaaaaaaaa; Angalia

trafiki wa Bongo ni shidaaaaaaaaaaaaaaa; Angalia

R.B

JF-Expert Member
Joined
May 10, 2012
Posts
6,296
Reaction score
2,578
IMG_2709.JPG
 
na nyie mmezidi kuwafuatlia hizo ni chuki binafsi
 
Nasema hivi wapigwe picha tu maana tumechoka sasa
Na wakigoma nyie wapigeni picha tu
 
Ni mwendo wa kuviziana tu na kuharibiana maisha.
 
Mimi nashauiri kusiwe na ma-trafiki wa Kike..wawe wanaume tu!!
 
Alafu mnaniudhi na hilo neno lenu Eti ni Shida!!! Sasa hapo hao matrafik wana shida gani?
 
Mbona barabara haionekani wanafanya nini hapo au kituo kimehamia vichakani? Kazi yao ni kusimamia usalama barabarani sio vichakani. Mamburula wengi hawaioni hiyo shida ya traffic kukaa vichakani kama fisi
 
Mbona barabara haionekani wanafanya nini hapo au kituo kimehamia vichakani? Kazi yao ni kusimamia usalama barabarani sio vichakani. Mamburula wengi hawaioni hiyo shida ya traffic kukaa vichakani kama fisi

Wewe ndiye mburula no 1, hizo ni sehemu ambazo huwa wana kaa, we ulitaka waweke stuli barabarani? na unajuaje barabarani kama hayupo mwenzao saa hizo?
 
Ingekua vizuri zaidi kuwapiga picha pale wanapopekea rushwa lakini hapo ni kawaida, kupumzika muhimu.
 
Back
Top Bottom