trafiki wa Bongo ni shidaaaaaaaaaaaaaaa; Angalia

trafiki wa Bongo ni shidaaaaaaaaaaaaaaa; Angalia

ingekua vizuri zaidi kuwapiga picha pale wanapopekea rushwa lakini hapo ni kawaida, kupumzika muhimu.

ututakii mazuri; unataka watu jerry mulo
 
ututakii mazuri; unataka watu jerry mulo

Ah ndio hivyo, nchi inashindwa kuendelea kwa ajili ya rushwa, Hata hivyo ukimkamata mtu au kumshtaki mtu kwa bosi kwamba amedai rushwa na huyo bosi mwenyewe ni mla rushwa, Kesi ya Ngedere...
 
hawana shida hao, wanavuna bila mtaji. kazi zingine zina unono sana
 
Wameachika Hao maskini kuna wengine wanakaa pale Masaki Kijiji ukielekea Kisarawe huko yaani unasimama mwenyewe unawapelekea pesa
 
Ni nani hana shida TZ, hata Mh. JK kila siku anawaza namna ya kuondoa umaskini wa wa-tz.
 
IMG_2709.JPG

jaribu kuweni na heshima na kazi ya mtu
 
Duh! Mazeeee, ebu waacheni wapumue. Hapo ka walikuwa wanarelax kidogo baada ya kazi nzito. Sioni cha ajabu hapo, hata maofisini kuna recess.
 
Mbona barabara haionekani wanafanya nini hapo au kituo kimehamia vichakani? Kazi yao ni kusimamia usalama barabarani sio vichakani. Mamburula wengi hawaioni hiyo shida ya traffic kukaa vichakani kama fisi

Wanayo haki ya kupumzika. Barabarani nje ya miji walitakiwa wapumzike wapi? Hata maofisini kuna muda wa ku-break.
 
Na hawa je

Pia wabunge wanalalaga. Wapigwe picha wanapochukua rushwa, hapo nitawaona watu wajanja, sio kujaribu kuwaharibia wenzao kazi. Hapo labda walikuwa wanapumzika, na wengine walikuwa wako barabarani!
 
Back
Top Bottom