Jana nimesafiri safari ya zaidi ya km 300 lakini sijaulizwa chochote na traffic, kuna mmoja nilimpita kasimama karibu na centreline nilivyokaribia akawahi kunipisha nikabaki na shangaa leo na kismati gani
Bora wafutike kabisa kama miaka ya 70 huko walikuwa wanaonekana kwa nadra sanaJana nimesafiri safari ya zaidi ya km 300 lakini sijaulizwa chochote na traffic, kuna mmoja nilimpita kasimama karibu na centreline nilivyokaribia akawahi kunipisha nikabaki na shangaa leo na kismati gani
Kuna ndugu yangu aliambiwa gari lina mikwaruzo, mwingine akaambiwa gari ni chafu, dakika kidogo ukapita msafara wa RC wa Njombe umetoka vijijini magari hayajulikani yana rangi gani, akawauliza hayo magari yamechafuliwa na nani? Akaona ujinga akaunga kwenye msafara wa RC.Polisi akikagua vyote hivyo huchomoki usipokamatwa hapo atacheki taa akikukosa atacheki condition ya gari kama kuna mikwaruzo au michubuko hakuachi, katika watu100 wanaoweza kupona ni wawili au watatu. Polisi wa bongo ni wa hovyo sana.
Kuna mbavu moja iko Morroco ndio shughuli zake hiziSiku hizi hata hawa FFU nao wanasimamisha magari na pikipiki kukagua na kuchukua rushwa.
Leo nimetembea na gari km 35 sijaona trafiki, nadhani wanamwagilia moyo kwa mara ya mwisho baada ya hapo watamwagilia moyo kwa mahesabu makali sana.Kuna haja ya kufanya survey na kuleta mrejesho. Jamaa hawa walitesa sana watu. Kuwa na gari ikawa kero!
Sasa hivi Kitimoto na wenzako mwagilieni mioyo bwawa limeingiwa luba!
Askari akitaka kukugea kosa hashindwi. Hata gari utoke nayo show room sahizi akikudaka labda awr hana nia ya hongo ila hela utatoa tu huwezi kuwa salama nyakati zoteHivi wakuu ukijitahidi gari yako iwe safi,kwa maana spidi ya kawaida,ukiwa umevaa mkanda,bima umelipa na tira inasoma,tairi zipo vizuri na spea yake,nenda kwa usalama umepeleka gari na imekaguliwa na wao vizuri tu.
Taa zote zipo safi,waipa na maji yapo poa,hujazidisha abiria,hujavaa sendo,fire extinguisher ipo vizuri,na unajua kuitumia.
Huhjaovateki sehem isiyoruhusiwa,kwenye zebra umepisha watu wapite,umepaki sehem sahihi,upo kwenye line yako.
Hivi hawa jamaa wanakulaje hela yako?????
Ukiwa umekamolika kila kitu na unafuata sheria za barabarani ni ngumi kukuta na kosaAskari akitaka kukugea kosa hashindwi. Hata gari utoke nayo show room sahizi akikudaka labda awr hana nia ya hongo ila hela utatoa tu huwezi kuwa salama nyakati zote
Na huwezi kuwa umekamilika siku zote 3O za mwezi wewe kama mmiliki wa gari. UtaotewaUkiwa umekamolika kila kitu na unafuata sheria za barabarani ni ngumi kukuta na kosa
Mimi siendeshi gari ni mwezi wa 3 sasa nakwea daladala tu. Siwezi ku deal na gharama za mafuta na gharama za trafiki tena. Ni ngumuKuna haja ya kufanya survey na kuleta mrejesho. Jamaa hawa walitesa sana watu. Kuwa na gari ikawa kero!
Sasa hivi Kitimoto na wenzako mwagilieni mioyo bwawa limeingiwa luba!
Unaweza ukajizatiti kweli kumbe tairi ime expire mds wake na gari imetoka show room lazma akulime 3OKPolisi akikagua vyote hivyo huchomoki usipokamatwa hapo atacheki taa akikukosa atacheki condition ya gari kama kuna mikwaruzo au michubuko hakuachi, katika watu100 wanaoweza kupona ni wawili au watatu. Polisi wa bongo ni wa hovyo sana.
Utakuwa siyo dereva makini.Na huwezi kuwa umekamilika siku zote 3O za mwezi wewe kama mmiliki wa gari. Utaotewa
tu aidha hujafunga mkanda. Umeruka zebra ama umeruka taa. Hayo maeneo lazma utadakwa tu.
Mkuu unaishi nchi gani?Hivi wakuu ukijitahidi gari yako iwe safi,kwa maana spidi ya kawaida,ukiwa umevaa mkanda,bima umelipa na tira inasoma,tairi zipo vizuri na spea yake,nenda kwa usalama umepeleka gari na imekaguliwa na wao vizuri tu.
Taa zote zipo safi,waipa na maji yapo poa,hujazidisha abiria,hujavaa sendo,fire extinguisher ipo vizuri,na unajua kuitumia.
Huhjaovateki sehem isiyoruhusiwa,kwenye zebra umepisha watu wapite,umepaki sehem sahihi,upo kwenye line yako.
Hivi hawa jamaa wanakulaje hela yako?????
Mbona una hasira kama mwendakuzimu?Kinana ndiyo kaanza uongozi leo? Hii sisi tunaita ''n'tokeje ili mabwege yaniunge mkono niongeze umaarufu wangu'' Narudia tena ili wenye akili za nyumbu za kupiga vigelegele kwa kila kitu wafunguke: Tatizo siyo trafiki polisi. Tatizo ni mfumo wetu wote wa uongozi umeoza. Kinana na watu kama wewe mna-deal na dalili tu na kuacha ugonjwa. Bila kuwa na mfumo mzuri wa uongozi na unaowajibika ni bure. Mtaishia kufanya ''mental masterbation'' na kujifurahisha tu. Kinana mwenye ni mpigaji, atawazuiaje wapigaji? Nyie mnafikiri hao trafiki polisi hawana macho na masikio wala ubongo? Na subirini sasa muone kama tatizo litaisha!
Nilitegemea nione wananchi wenye magari wakiandamana kuunga mkono kauli ya Kinana!Katika hili, Mzee Kinana anatakiwa kuungwa mkono kwa 100%. Hawa jamaa watafutiwe majukumu mengine. Ifikie wakati nao wajifunze kuishi kwa kutegemea mshahara kama kada nyingine, badala ya rushwa kandamizi.
Yaani wamewafanya wamiliki wa magari kama ng'ombe wao wa maziwa! Jambo hili halikubaliki hata kidogo.
Ila mkiendelea kufa kwa maajali msije kuloloma humu.Katika hili, Mzee Kinana anatakiwa kuungwa mkono kwa 100%. Hawa jamaa watafutiwe majukumu mengine. Ifikie wakati nao wajifunze kuishi kwa kutegemea mshahara kama kada nyingine, badala ya rushwa kandamizi.
Yaani wamewafanya wamiliki wa magari kama ng'ombe wao wa maziwa! Jambo hili halikubaliki hata kidogo.
Kwa taarifa yako askari akikumata hajawahi kukosa kosa la kukupa ili tu apate elaHivi wakuu ukijitahidi gari yako iwe safi,kwa maana spidi ya kawaida,ukiwa umevaa mkanda,bima umelipa na tira inasoma,tairi zipo vizuri na spea yake,nenda kwa usalama umepeleka gari na imekaguliwa na wao vizuri tu.
Taa zote zipo safi,waipa na maji yapo poa,hujazidisha abiria,hujavaa sendo,fire extinguisher ipo vizuri,na unajua kuitumia.
Huhjaovateki sehem isiyoruhusiwa,kwenye zebra umepisha watu wapite,umepaki sehem sahihi,upo kwenye line yako.
Hivi hawa jamaa wanakulaje hela yako?????