Askari wa usalama barabarani wilaya ya kakonko anayejulikana kwa jina MBAYA ameshindwa kuwasiliana na Raia wa kigeni aliyekuwa anaendesha gari T7610BVV,mpaka akamuita askari mwenzake anaitwa Rudo,
Askari wa usalama barabarani wilaya ya kakonko anayejulikana kwa jina MBAYA ameshindwa kuwasiliana na Raia wa kigeni aliyekuwa anaendesha gari T7610BVV,mpaka akamuita askari mwenzake anaitwa Rudo,
T761bvv
Kwanza hao wageni inabidi wajue lugha yetu na sio sisi tujifunze ya kwao kwani huo ni utumwa
Askari wa usalama barabarani wilaya ya kakonko anayejulikana kwa jina MBAYA ameshindwa kuwasiliana na Raia wa kigeni aliyekuwa anaendesha gari T7610BVV,mpaka akamuita askari mwenzake anaitwa Rudo,
Sijaona tatizo, lugha yetu ni kiswahili hiki kiingereza tunababaisha tu...bora kamuita anayejua!
Na hii mbona iko kwingi tu duniani!
Punguza kuongea usichojua kuhusu kuruta kufundishwa kwa kiingereza sio kweli kwani zamani Polisi walikuwa wanaajiri darasa la Saba, walikuwa wanafundishwa kwa Kiswahili, na depo ya mwisho kufundishwa kwa Kiswahili ni depo ya Michezo ya mwaka 2000, ambapo kulikuwa na mchanganyiko wasomi na darasa la Saba,Mimi naona wachangiaji wengi hapa JF ni vilaza. Lugha ya kiingereza ndiyo inatumika kufundishia na mitihani yote inaandikwa kiingereza huyo askari alifaulu vipi hadi kupata ajira? Vyuoni kuanzia ukuruta hadi uafisa masomo ni kimombo sasa huyo askari wa wapi asijue kiingereza? Mimi naona tatizo labda mtasha mwenyewe alikuwa anaongea kiingereza cha kuchapia ndio mana jamaa akaona anampotezea wakati.