MD24
JF-Expert Member
- Jan 20, 2011
- 745
- 254
Askari wa usalama
barabarani wilaya ya kakonko anayejulikana kwa jina MBAYA ameshindwa
kuwasiliana na Raia wa kigeni aliyekuwa anaendesha gari T7610BVV,mpaka
akamuita askari mwenzake anaitwa Rudo,
Tujivunie kiswahili. huyo mzungu ka hajui kiswahili, anatakiwa atembee na mkalimani...