kaka mleta uzi jaribu kufanya kitu kimoja. jaribu kuongea kiswahili hata kwa mabosi wako wa kizungu ili kukipa hadhi kiswahili. na kwa taarifa yako nimezunguka nchi nyingi dunian na maofisa weng wa airpot wa nchi hasa zinazoongea kiport, kireno au france hawajui kiingereza unachoona wewe dili. sasa ijekuwa huyo askari wa mwanamtoti!?