TRA yakusanya tr.15.9 July -Juni 2029

TRA yakusanya tr.15.9 July -Juni 2029

Mzee Nondo

Senior Member
Joined
Feb 26, 2014
Posts
125
Reaction score
83
Je Msioipenda Serikali ya awamu ya 5 na Ccm
yake bado hata kwa hili hampongezi?
Je Hamuoni kuwa msipoipongeza Serikali kwa
hili mtakuwa Wanafiki?
Je kuendelea na Unafiki hamuoni mtakuwa
chukizo kwa Mungu wa Mbinguni?
Basi njooni tusemezane Tanzania kumenoga.

Typing error ni Mwaka 2019 na Si 2029
 
Je Msioipenda Serikali ya awamu ya 5 na Ccm
yake bado hata kwa hili hampongezi?
Je Hamuoni kuwa msipoipongeza Serikali kwa
hili mtakuwa Wanafiki?
Je kuendelea na Unafiki hamuoni mtakuwa
chukizo kwa Mungu wa Mbinguni?
Basi njooni tusemezane Tanzania kumenoga.

Yaani kuna watu siku hizi wana biashara ya kupongeza tu
 
Mkuu hebu kwanza tujulishe katika kipindi ulichokusudia kutolea taarifa mlipanga kukusanya kiasi gani na mmefanikiwa kukusanya nini? Je lengo mmelifikia kwa asilimia ngapi?
 
Je Msioipenda Serikali ya awamu ya 5 na Ccm
yake bado hata kwa hili hampongezi?
Je Hamuoni kuwa msipoipongeza Serikali kwa
hili mtakuwa Wanafiki?
Je kuendelea na Unafiki hamuoni mtakuwa
chukizo kwa Mungu wa Mbinguni?
Basi njooni tusemezane Tanzania kumenoga.

Mnalazimishia kupendwa!?
 
Mkuu hebu kwanza tujulishe katika kipindi ulichokusudia kutolea taarifa mlipanga kukusanya kiasi gani na mmefanikiwa kukusanya nini? Je lengo mmelifikia kwa asilimia ngapi?
Sikiliza Clip utaelewa
 
Sasa kama wamekusanya zote hizo mbona wafanyakazi hawalipwi nyongeza za mishahara zao za kila mwaka kama sheria ya kazi inavyotaka?
Kwa nini wastaafu wanazunguushwa malipo
Na kwa nini wakulima wa korosho wanapigwa danadana kulipwa pesa zao
Au ndo hizo zimeenda kujenga uwanja wa ndege chato?
 
Mzee Nondo,
Miaka kumi ijayo ndiyo jumla kubwa ya kiasi cha kodi inayokadiriwa TRA watakusanya kama kichwa cha habari :
TRA YAKUSANYA TR.15.9 JULY -JUNI 2029
 
Back
Top Bottom