paul vicent
Member
- Jul 13, 2012
- 44
- 4
kumekucha
ook kumbe wewe ni class mate?
ook kumbe wewe ni class mate?
Mnakisifia chuo chenu cha ushirika, na kibaya zaidi watu wenyewe mnaokisifia chuo hata ajira huko TRA hamjapata, tembeeni huko TRA mkauulizie staff wengi wametokea chuo gani, wengi IFM pale ndo kuna magwiji wa masomo ya Tax, ma dr wa taxation wapo kibao, ukija upande wa account ndo usiseme kuna ukitoka pale lazima uwe professional wa account, hata wanafunzi wengi wanaongoza kuchukua CPA utakuta Ifm,mzumbe, udsm, Iaa, tia, hata staff pia hapo tra wengi ni product ya ifm, udsm,mzumbe
tunapiga kazi sasa interview poaaaa
Ulikuwa course gani hapa MUCCoBS?
Ulikuwa course gani hapa MUCCoBS?
sasa mtu amesomea mambo ya ushirika,TRA akafanyaje?
me nashauri kabla hamjakiongelea ushirika fanyeni utafiti kuhusu hiko chuo kwa sasa na sio kukariri jina Ushirika, utazidi sota na wenzio wanapeta wanakozi nyingi na competent tofauti na huo ushirika kwa sasa na wako nondo, so fanyeni research kwanza si uzushi bali ni hali halisi kwa sasa ushirika wako vizuri sana na huwezi kushindana nao kwenye job market ya course za biashara, mfano mwanafunzi wa ushirika anayefanya Micro finance ushirika huwezi kushindana naye kwenye market lazima akutupe mbali saaaaaaaaaaaannaaaa[/QUOTE
nimependa mfano wako wa mwisho hapo . , !
Yani waache kuchukua vipanga wa udsm,mzumbe,ifm,tia na Iaa..wakachukue watu wanaosomea mambo ya ushirika?
Labda kama ni Kilimanjaro Community Union na siyo TRA.
hahahaha vyuo vilivyo pandishwa hadhi vinajaribu kujitutumua