TRA: Wengi watatoka MUCCOBS

TRA: Wengi watatoka MUCCOBS

Wataalamu wenyewe wanaofanya usaili ni kutoka chuo cha Mzumbe morogoro.
TRA ni nafasi kwa wahitimu wa UDSM,MZUMBE,MUCCOBS,IFM,TIA na SAUT.....but vyuo vingine huwa hawafanyi vyema kama products za vyuo hivyo!
 
Who told you that waache wakali WA UDSm,IFM,na mzumbe
 
MUCCOBS kidedea tena CPA wanafunzi watatu best student.Mlimani mpooooooo......
 
Kile chuo cha kata chatoa tena three best students am among of them.Pondeni tena
 
unajua wewe ulieleta huu uzi unaakili za kizee sana. we unafikiri kusoma chuo flani ndio candidate anakua na sifa zaidi...sasa kwa taarifa yako hata hapa tz muccobs haiko kwenye top 50 ya vyuo

Wewe mjinga kweli MUCCoBS ni constituent college ya SUA kama sua ni namba1 kwa ubora na MUCCoBS nayo ni ya kwanza kwa ubora
 
Kila mtu ataongea lake hapa. ila tukitoa longo longo zote turud kwenye uhalisia
kwa wanaojua maana ya Elimu bora
watakubali tu kuwa katika Taaluma ya Biashara hakuna chuo kizuri kama MUCCOBs, but kwenye ajira hatuangalii chuo kizuri wala chuo maarufu tunaangalia uwezo wako katika kuchanganua mambo na kuchapa kazi.
ila kitu kimoja kikubwa tunachopaswa kufaham we kama upo ofisin na unafanya kazi na Graduate wa MUCCoBS Jaribu kuangalia utendaji wake wa Kazi, nidham na utulivu
utajua why jamaa wanapendwa.
 
kumbe na wewe ..mama mwende ni noma...wacha waseme ila tunapeta ..hata mimi nipo kwenye taasisi kubwa tu hapa nchini na intake yangu muccobs tulichukuliwa 4 post zilikuwa 10...ofsin tupo muccobs kibao mkuu
Smile ebu kam zis wei tuongee kuna mengi in common aisee.
Sasa ulifahamu kwanza prof. Ofunguo alifariki ama ww hukumkuta?
Mzee Donge? Dr. Mwende aliwaimbishaga nyimbo nyie??? Duh....
 
Last edited by a moderator:
Smile ebu kam zis wei tuongee kuna mengi in common aisee.
Sasa ulifahamu kwanza prof. Ofunguo alifariki ama ww hukumkuta?
Mzee Donge? Dr. Mwende aliwaimbishaga nyimbo nyie??? Duh....
hilo la pr ufunguo niliambiwa kaka...yule kijana wake wa kcmc alikuwa anatumega sana chuo pale
pr donge ni my best best friend na mke wake..dr mwende na mke wake mi nawaonaga makauzu sana..sinaga time nao lakini hawakuwai kunishika masomo yao nina b ila makauzu sana
 
Back
Top Bottom