mkeyamasai
JF-Expert Member
- Jul 21, 2013
- 383
- 153
Ni kweli chuo hakimbebi mtu .lakini kumbuka tra post zao nying ni kwa watu waliosoma biashara na hiko chuo chenyewe kimebase kwenye mambo ya biashara labda ndio sababu wanaamini mtu akitoka pale anakua anamaarifa sana.lkn nashangaa hawa watu wanachuo chao au bado wanafunzi hawajahitimu .cjawaelewa hapo na hii habari haina ukweli wowoteacha mbwembwe content ndio inayo amua unafikiri chuo kitakubeba cku wanaangalia unajua nin sio umesoma wapi na umepata ngapi