Nafasi za kazi zilizotangazwa na TRA watakachukuliwa kutoka chuo cha Moshi
Labda kama ni Kilimanjaro Community Union na siyo TRA.
Yani waache kuchukua vipanga wa udsm,mzumbe,ifm,tia na Iaa..wakachukue watu wanaosomea mambo ya ushirika?
nenda kwenye maofisi au kwenye interview ndo utawajua hao watu uzuri waoLabda kama ni Kilimanjaro Community Union na siyo TRA.
Sasa udsm na mzumbe vinatofauti gani na sua wewe mana muccobs ni chuo ambacho kipo chini ya sua na pia ni chuo cha serikali..nakufahamisha tu kama ulikua hujui.mi sijasoma hapo ila trust mi inawezekana ni kweli mwaka jana walitoa post kwa graduates asilimia nyingi walitoka muccobs na sasa wapo kazini wanapeta.
Nafasi za kazi zilizotangazwa na TRA watakachukuliwa kutoka chuo cha Moshi
Muccobs wanasoma zaidi ya kozi 42,mitihani ya cpa wanakimbiza sana alafu darasani mahudhurio yanachukuliwa,ulizia mama Hellen,dr Mwende,dr Magigi....bila kumsahau engineer Boa
kumbe na wewe ..mama mwende ni noma...wacha waseme ila tunapeta ..hata mimi nipo kwenye taasisi kubwa tu hapa nchini na intake yangu muccobs tulichukuliwa 4 post zilikuwa 10...ofsin tupo muccobs kibao mkuumuccobs wanasoma zaidi ya kozi 42,mitihani ya cpa wanakimbiza sana alafu darasani mahudhurio yanachukuliwa,ulizia mama hellen,dr mwende,dr magigi....bila kumsahau engineer boa
sasa mtu amesomea mambo ya ushirika,TRA akafanyaje?