masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 18,621
- 14,577
Ni matumaini yangu kuwa Waziri Dr Mpango anapitia humu ili kuona taasisi yake ya TRA , ilivyobadilika kuwa a business terrorist instrument.Kuna ujinga mwingi sana pale. Nimekua nafanya kazi na wafanyabiashara na nimekutana na vitu ambavyo mtu unajiuliza hawa TRA nia yao haswa ni nini. Kwani hawaoni kwamba wasiposaidia wawekezaji kukua ni sawa tuu na kuhujumu uchumi??
TIC nao walikua hivyohivyo wamebadilisha wakurugenzi weweee lakini wapi. Kuna hujuma kubwa sana kwenye hivi vyombo vya serikali
Na hizi hujuma zinaumiza wananchi na wawekezaji wote wa nje na wazawa.. pamoja na watanzania wengine wanaotegemea huu uwekezaji kuendesha maisha yao
TRA wafike mahala wawe chombo cha kuhamasisha uwekezaji kwa wawekezaji wenye nia njema
Na iwashughulikie wahujumu uchumi bila kuumiza wengine
Wengine Ni Brela sijui serikali haioni ule upuuzi wao ? Mtu unafungua kampuni ila wanakuzungusha Hadi unachoka.Kuna ujinga mwingi sana pale. Nimekua nafanya kazi na wafanyabiashara na nimekutana na vitu ambavyo mtu unajiuliza hawa TRA nia yao haswa ni nini. Kwani hawaoni kwamba wasiposaidia wawekezaji kukua ni sawa tuu na kuhujumu uchumi??
TIC nao walikua hivyohivyo wamebadilisha wakurugenzi weweee lakini wapi. Kuna hujuma kubwa sana kwenye hivi vyombo vya serikali
Na hizi hujuma zinaumiza wananchi na wawekezaji wote wa nje na wazawa.. pamoja na watanzania wengine wanaotegemea huu uwekezaji kuendesha maisha yao
TRA wafike mahala wawe chombo cha kuhamasisha uwekezaji kwa wawekezaji wenye nia njema
Na iwashughulikie wahujumu uchumi bila kuumiza wengine
Bora hivyo kuliko kufa kwa pressure aisee jamaa wana force kila siku kutuma barua tunataka kuja kukukagua hesabu zako za 2016 na 17 na 19 🙆Mkuu hicho ndicho wafanyabiashara wengi kwa sasa wanafanya.
Funga biashara kula mtaji uliomao taratibu.
Hii si nzuri kwa afya ya uchumi wa nchi.
Ni kweli mkuu.
Tatizo ni kwamba wafanyabiashara wengi hawazijui haki zao kutokana na kutoelewa sheria.
Na wafanyakazi wengi tu TRA hawazijui sheria za kodi.
Mkuu tatizo ni malengo wanayo pewa, wanapewa malengo makubwa sana.Nashauri; TRA wachunguzwe juu ya uhalali wa kodi zao. Kesi zimekuwa nyingi siku za hivi karibuni.
Acha tu aisee una fanya kazi kwa nguvu kubwa sana watu wanakuja kukuumiza kwa hesabu za uwongo!🙆Kuna ujinga mwingi sana pale. Nimekua nafanya kazi na wafanyabiashara na nimekutana na vitu ambavyo mtu unajiuliza hawa TRA nia yao haswa ni nini. Kwani hawaoni kwamba wasiposaidia wawekezaji kukua ni sawa tuu na kuhujumu uchumi??
TIC nao walikua hivyohivyo wamebadilisha wakurugenzi weweee lakini wapi. Kuna hujuma kubwa sana kwenye hivi vyombo vya serikali
Na hizi hujuma zinaumiza wananchi na wawekezaji wote wa nje na wazawa.. pamoja na watanzania wengine wanaotegemea huu uwekezaji kuendesha maisha yao
TRA wafike mahala wawe chombo cha kuhamasisha uwekezaji kwa wawekezaji wenye nia njema
Na iwashughulikie wahujumu uchumi bila kuumiza wengine
Wameisha nikarisha chini.. 🥲🥲
Usihangaike mkuu kuna watu humu wanafrahia wengine wakipata shidaNaona bado huelewi mantiki hata ya mfano wa ndizi.
Kodi hutokana na tozo na faida ya biashara.
Kama tozo hakuna na faida hakuna na bado ukapigwa kodi, tena kubwa, maana yake FUNGA BIASHARA.
Na wengi wanafunga.
Watanzania tusipolielewa hilo tunafikiri kodi ni kupanda migongo ya punda wafanyabiashara.
Sasa hivi punda wanakufa kwa wingi.
Ungekuja na takwimu walau ungetushawishi tukuamini. Tuletee walau takwimu kidogo ya wafanyabiashara waliofungiwa.Tunalazimika kueleza jinsi TRA wanavyofunga biashara za wafanyabiashara.
TRA wamepangiwa malengo ya ukusanyaji fedha, kinyume cha hivyo mtu anafukuzwa kazi na ajira inakoma.
TRA kama ilivyo ada kwao, hawafuati weledi wa kibiashara au kuona jinsi ya kupata mapato endelevu, wao ni kutimiza amri ya mkubwa wao, iwe isiwe.
Mfano:
Wafanyakazi wawili wawili au watatu wanapewa kampuni mbili au tatu na wanatakiwa watazame makosa ya kiuhasibu ndani ya returns za mfanyabiashara zilizowasilishwa TRA hata miaka 10 iliyopita.
Haijalishi kama kuna wenzao walipita mwaka jana na mwaka juzi. Ni kama mtu anaamrishwa kuvuna shamba lililokwisha kuvunwa.
UKWELI hapo ni kwamba hakuna kodi ya mapato inayotafutwa, ni hela tu, basi. Uwe nazo usiwe nazo unalijua Jiji.
Hivyo makosa ya kiuhasibu yanatafutwa kwa nguvu. Tunajua fika level ya wahasibu wetu, ambao hata serikalini wapo, na makosa yanayoweza kufanywa.
Hiyo timu ya wakaguzi wa TRA wanapata makosa ya kulazimisha kama kumi hivi, na huo ndio mtaji wa “kodi”, na si kutokana na mapato.
Kwanza, makosa hayo yajengewa uhalali wa kupigwa kodi
Pili, yanapigwa fine
Tatu, yanapigwa interest-riba
Yakijumlishwa ndiyo eti unaletewa assessment ya kodi unayodaiwa-wizi mtupu, maana hizi ni kodi za kupikwa.
Ukiwa na Tax Consultant ataweza kupangua baadhi ya hizo “kodi”, kama huna TRA wanakimbilia akaunti yako benki na kukomba chochote kilichomo.
Sasa hii ni State Robbery.
Na haya yanafanyika kila leo.
Matokeo yake:
Sasa hivi kuna misururu ya wafanyabiashara kule matawi ya TRA, wanafunga biashara.
Makampuni tunayoyaona mitaani yametembelewa mara tatu au nne kwa mwaka, TRA wanataka kodi za kupikwa.
Wewe hujui unalosema,nyie ndio amabo hamjui kitu kwa sababu hujawahi fanya biashara na kulipa kodi.na hujui mchango wa biashara za kati kwenye mchango wa pato la serikali. Yaani serikali zinazoendelea dunia ninkwa kuwa na mfumo mzuri wa kodi.serikali haitakiwi kuingia kufanya biashara,inatakiwa kuwezesha watu wafanye biashara ili walipe kodi.Umelimbikiza madeni nenda kalipe na TRA wanakubali malipo kwa awamu.
Wafanya biashara ndio tunajua uchungu.. binafsi wamenikarisha... nafikiri kurudi kijijini nijipange upya 🥲🥲Unaona kama watu wanachosema ni siasa?[emoji41],huyu mdudu anaeitwa TRA ni kiboko
sasa ndio kuamua kuziua biashara ambazo hawakuchangia mitaji? Yao si kodi tu?Mkuu tatizo ni malengo wanayo pewa, wanapewa malengo makubwa sana.
Na manager wa mkoa asipo fikisha inabidi ajieleze kwann?
Sasa hapa ndio kwenye shida
Upo sahihi, kuna mtu wame piga kienyeji kabisa..Bank sasa siyo mahala salama kwa pesa za wafanyabiashara kwani TRA huenda kufunga A/C kienyeji na kupora pesa za wafanyabiashara kwa njia haramu za kishetani
Unatuchongea.. watatia pin broker wote. Unaona Templerfx ? Maneno maneno ya watu likafuata kufuri..Fotex tu mzee baba
Unawajua municipal wewe? Hawa ndiyo shida kabisa hata kama una biashara ya mamantilie wakija wa naondoka na masufuria na vijikoUshauri: Mtu yeyote asifanye biashara yenye mkono/uhusiano wa TRA wala kusajiliwa na TRA.
Inabidi pawe na uzi wa orodha ya biashara mbalimbali ambazo hazihusiani na TRA wala ukiifanya hiyo biashara hauhitajiki kusajiliwa na TRA.
Sijui kama uko nchini.Ungekuja na takwimu walau ungetushawishi tukuamini. Tuletee walau takwimu kidogo ya wafanyabiashara waliofungiwa.
Hapo ndio matatizo yote haya yalipoanziaMnaambiwa miradi mikubwa tunajenga kwa peas zetu , acheni kulia lia