Tatizo mkuu zipo tahasisi zinakinzana Sana,naungana na wewe mkuu kwamba waofisa wa TRA wote wachungunzwe Mali zao, maana Wana wanakwiba Sana,ita iundwe task force kwa kazi hiyo Lila wilaya tz itakayojumlisha na takukuru,ila wasiachiwe takukuru tu,
Mfano yupo rafiki yangu mwingine alifutwa akapewa notice ya pesa nyingi tu kwamba hakua akilipa kodi vizuri, badae waliyamaliza but sikujua katika mazingira gani,bahada ya hapo huyo afsa wa TRA akaona Kama ni chimbo, anakaa ukifika mda anamfuata, KWA mazungumzo mengine ambayo anayajua
Siku ya siku jamaa akamwambia huyo afsa wakutane sehem apatiwe alichokita, walivyokutana wakiwa wawili, akampa live,kwamba waonekana umezoea na lengo lako naona Mimi na familia yangu tufe,Sasa Sasa kabla hatujafa ,ni lazima utangulie wewe na ndo nilichokuitia hapa ,he jamaa akamuacha hapo afsa akaondoka zake ,mka leo hakuwai tishiwa,na kodi analipa na biashara anafanya vizuri
So kwa Mambo yalivyo KWA Sasa maafsa wa TRA baadhi,pesa inayokwibwa,na inayoingia kwenye mfuko wa serikali, wenda inayokwibwa ni nyingi zaidi
Pili Hawa wanavisa hasa pale usipoenda na matakwa yao binafsi, ndo hayo ya kupewa manotice ya juu kuliko hata mtaji mtu anapewa notice ya m300 kweli ?kwamba nyuma hulikua hulipi kodi vizuri wakati mtaji wa mtu hata m40 hazifiki