TRA wanavyofunga biashara za wazalendo

Kwa heshima ya huu uzi, nyie watu wenye tongo tongo ya ubongo naona kinyaa hata kuwajibu.
 
Wakuu hii kitu imekata vipi,nafikili ni mda kuwa na mjadala juu ya TRA, wa kitaifa, kweli tunapenda mapato ila sio KWA upepo huu wa TRA
Kuna rafiki yangu kigoma kapewa charge ya madai makubwa mwamba alikua alipi kodi vizuri,Sasa jamaa siku ya pili Hali chakula, na sijui what will be next to him
Nafiki kunaitajika mjadala wa kitaifa Kama kweli TRA hii itatuvusha, au ivunjwe tuanzishe chombo kipya na watu wapya wasasa naona hawafai hata ukiifumua, wakabaki wale wale
 
Karatu huko wakulima wanaanza kubanwa na TRA. Inabidi tuache kulima alime meko mwenyewe.
 
Nadaiwa na TRA Kodi za kulazimisha jumla 167,970,600.34
Nimemua kumwachia Mungu hata sielewi
 
TRA inaweza kuwa inaongoza tanzania kwa kuajiri majembe tanzania ndio taasisi bora kimahesabu kwa mujibu wa bodi ya wahasibu tatizo maagizo
 
TRA inaweza kuwa inaongoza tanzania kwa kuajiri majembe tanzania ndio taasisi bora kimahesabu kwa mujibu wa bodi ya wahasibu tatizo maagizo
Ujembe wao ungejidhihirisha kwenye kuondoa hizi kero otherwise hawana lolote kazi kuchomekea surual za vitambaa na mashati Yao ya blue.
 
Level ya discont dhidi ya TRA kwa sasa ni kubwa.
 
Nini kifanyike Sasa, maana wanapoelekea watasababisha NDUGU zetu wengi kufa mapema Kama sio kwamba wameisha anza ,
TRA inaweza kuwa inaongoza tanzania kwa kuajiri majembe tanzania ndio taasisi bora kimahesabu kwa mujibu wa bodi ya wahasibu tatizo maagizo
 
TRA inaweza kuwa inaongoza tanzania kwa kuajiri majembe tanzania ndio taasisi bora kimahesabu kwa mujibu wa bodi ya wahasibu tatizo maagizo
Kwa huo ujinga wa kujipa vichwa mnashindwa hata kueleza na ku interprt misingi ya With Holding Tax, kulinganisha na Corporate Tax, ikiwa ni pamoja na provisional tax.
Sijawahi kuona afisa wa TRA ambaye amezielezea hizi kodi tatu kwa pamoja, na akaeleweka.
Maafisa wngi wa TRA ni mediocre tu, no less.
 
Mkuu umeamua kuwawashia moto,
 
Tulia kada dawa ikuingie.
 
Kodi zipi? Maana kodi za kawaida zinalipwa vizuri au unataka walipe kodi VAT za kubambikiwa kwa uonevu? Wewe utakuwa ni mmojawapo wa maofisa wanawafungia A/C wafanyabiashara, wewe ni mnufaika wa huo uonevu wote
Lipeni kodi, mimi kama mzalendo nanufaika pale kodi inapokusanywa na kupeleka maendeleo kwa wananchi wanyonge
 
labda unaokitana nao hao wa presumptive taxes.mi muhasibu wa kampuni ya mtu ukweli hawa wa LTD ni wakali balaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…