Tra wanapiga simu za kuita watu kazini

Tra wanapiga simu za kuita watu kazini

Obama wa Bongo

JF-Expert Member
Joined
May 10, 2012
Posts
5,448
Reaction score
4,980
Jamani tra leo mchana wameni call kuitwa kazini ass tax officer,wengine wekeni simu zenu karibu maana hawa jamaa nimekuta missed call 7 walikuwa wananitafuta since morning!
 
Mie siku apply ila nakeeep close to my photjd
 
Mie siku apply ila nakeeep close to my phone
 
hongereni madogo kwa kupata vibarua kitunze kidumu
 
Zilitangazwa lini tena au ni direct from school???(F4 2012)
 
Jamani tra leo mchana wameni call kuitwa kazini ass tax officer,wengine wekeni simu zenu karibu maana hawa jamaa nimekuta missed call 7 walikuwa wananitafuta since morning!


hongera sana mdau, kwahiyo utaripoti lini na wapi? na umeitwa kwa kazi gan? Bse mi nilfanya interview ya PREVENTIVE ASSISTANT. ukipata taarifa zaidi khs P.A nijulishe tafadhari.
 
kwa aliyepata barua ashajua kureport training tar 17/3 itakua muda gani?maaana barua haijasema
 
Back
Top Bottom