Mgeni wa Mungu
JF-Expert Member
- Mar 5, 2015
- 1,233
- 1,296
Wakitumaliza sisi wanakuja kwenu, hakuna atakae kuwa salama.
Salooni ya kunyoa kwa 1000 kwa siku anapata laki 5 kwa mwezi.mlizoea vya bure mbona watumishi wanalipa kila mwisho wa mwezi na hawalalamiki!
unakuta mwalim analipwa laki tatu na analipa kodi ,wewe mfanya biashara unapata zaid ya laki tano lakin hautaki kulipa kodi!
huyo huyooooDr gani? Activist General (AG)? Hahahah
Hawaangalii Matumizi yako wanaangalia unachoingizaSalooni ya kunyoa kwa 1000 kwa siku anapata laki 5 kwa mwezi.
Utafiti wa saloon
Kunyoa wastani wa watu 10 kwa siku=10,000tzs
MATUMIZI
Kula mchana 2000
Familia chakula 5000
Umeme siku 1500
Kodi ya jengo 1000
Mafuta na Spirit 500
Makadirio ya chini ya kodi 150,000/= kwa mwaka huyu atalipa nini?
hahahahahaha...huyo huyoooo
HahahahahNa yule Nyoko kule mpaka ajinyee, alifikri mambo mteremko? Na yeye vyuma vimekaza! Nawaunga mkono wafanyabiashara wa Songwe waliohamishia Zambia,, wakirudi nitawaona maboya! Tena naagiza wote wahamie huko!



Mbona sio mbaliTRA watakuja wafata Hadi wauza kahawa wa
Mtaani
Ova
Safi sana hao wafanya biashara wa mpakani nmewapenda bure maana wamejiongeza hii tra ya magu inataka kuwafilisi watz.Ukijua matawi wenzio wanajua mizizi. Tunduma mji wa mpakani na Zambia wafanyabiashara wote wa Tanzania wamehamia upande wa Zambia. Sasa TRA Tunduma hata hicho kidogo hawapati. Wanunuzi wa bidhaa zao ni watanzania waishio Tunduma kodi inalipwa Zambia kwenye mamlaka ya kodi ya kistaarabu
Ccm walijua watapeta sahv nao wanalialia tuTRA kazeni hivyo hivyo mpaka wadanganyika akili ziturudie.
Nasema tena kazeni nati kisawasawa.
Napenda mambo yawe magumu zaidi pia mpkaMbona sio mbali
Maendeleo yapi?,maendeleo unayajua wewe?.Hata Rwanda machinga wanalipa Lodi# Burundi hadi baiskeli inalipia kodi @ kodi ni lazima kwa maendeleo
Vp kuhusu biashara, ongelea biasharaHiyo ni Argentina na huwezi kuifananisha na taka taka km Tz. Kule bado wanafunzi wanakaa chini?
*Kule raisi anafuta ajira?
*Anakula hela za marehemu (rambi rambi)?
*Hatoi nyongeza ya mshahara?
*wamefuta fao la kujitoa?
*Kule kuna sheria ya vyeti lkn baadhi ya watu wenye vyeti feki wanaachwa?
*kule kuna risaasi inapiga kona inaua mpaka mwananchi asiyekuwa na hatia?