Ketoka
JF-Expert Member
- Sep 23, 2015
- 1,121
- 1,981
Mamlaka ya Mapato Tanzania,wanachokifanya kwa serikali ya awamu ya Tano ni unyanyasaji wa wananchi masikini wa nchi hii.
Mwananchi ambaye ameona ajiajiri mwenyewe ili ajiepushe na uhalifu kama vile ujambazi lakini kwa hali ilivyo sasa inatisha
TRA mwanza nimeshuhudia wakifunga visalooni ambavyo wateja wake hunyoa kwa sh 1000, kisa hajalipa kodi,fundi cherehani tena wanaorepair nguo nao wanafungiwa kisa hawajalipa kodi
Pia nikashuhudia wafanyabiashara wa ng'ombe kwenye minada wanapigwa faini kubwa kisa wanasafirisha ng'ombe bila kutumia malori,nimeshuhudia maafisa wa TRA wakiomba elfu 70 faini kwa kila ng'ombe,fikiria umenunua ng'ombe watatu kwa sh laki 6, unalipa sh laki 210 hii ni haki kweli
Chonde chonde serikali kupitia TRA wanajitathimini namna wanavyolipisha wananchi kodi za ajabu ajabu
Jamani salooni ya kunyoa sh 1000 ana mashine moja anatakiwa kulipa kodi,huu sio unyanyasaji,
Fundi cherehani masikini anayesubiria nguo ya mtu ichanike naye anambiwa alipie kodi
Mwananchi ambaye ameona ajiajiri mwenyewe ili ajiepushe na uhalifu kama vile ujambazi lakini kwa hali ilivyo sasa inatisha
TRA mwanza nimeshuhudia wakifunga visalooni ambavyo wateja wake hunyoa kwa sh 1000, kisa hajalipa kodi,fundi cherehani tena wanaorepair nguo nao wanafungiwa kisa hawajalipa kodi
Pia nikashuhudia wafanyabiashara wa ng'ombe kwenye minada wanapigwa faini kubwa kisa wanasafirisha ng'ombe bila kutumia malori,nimeshuhudia maafisa wa TRA wakiomba elfu 70 faini kwa kila ng'ombe,fikiria umenunua ng'ombe watatu kwa sh laki 6, unalipa sh laki 210 hii ni haki kweli
Chonde chonde serikali kupitia TRA wanajitathimini namna wanavyolipisha wananchi kodi za ajabu ajabu
Jamani salooni ya kunyoa sh 1000 ana mashine moja anatakiwa kulipa kodi,huu sio unyanyasaji,
Fundi cherehani masikini anayesubiria nguo ya mtu ichanike naye anambiwa alipie kodi

na bado