TRA wameita watu kwenye usaili

TRA wameita watu kwenye usaili

Mangungu

JF-Expert Member
Joined
Apr 22, 2012
Posts
2,405
Reaction score
3,061
Habari za jioni wadau??

TRA wameanza kuita watu kwenye usaili!!

Nimepokea mail toka kwao,wakiniomba nikachape usaili wao tarehe 12/12/14!

Post ya kazi ni Assistant Tax Officer!!
Vitu vya kwenda navyo siku ya interview ni
1.Barua ya kuitwa kuhudhuria usaili!
2. Picha mbili za passport size!!
3.Vyeti Original
4. Cheti cha kuzalia
5. Kikokotozi!

Naombeni msaada wenu pls! Maswali yanakuaje,maana kabla ya kwenda vitani,mchunguze kwanza adui yako anatumua zana zipi za maangamizi!!
 
Hongera sana. Kuna maswali ya yanayohusu tabia za ndani za mtahiniwa na kuna maswali yanayohusu nafasi unayoomba. Lakini pia kuna maswali yanayohusu uelewa wa kazi unayoitaka na pia maswali mengine yanahusu kile ambacho unapaswa kukifanya ktk nafasi yako kazini! Maswali hayo kwa ujumla ni:
1. Knowing about yourself
2. Knowing about the job position
3. Knowing about your strengths
4. Knowing about your weakness
5. Knowing about the your value
6. Knowing about your growth focus

Hongera sana.
 
Hongera sana. Kuna maswali ya yanayohusu tabia za ndani za mtahiniwa na kuna maswali yanayohusu nafasi unayoomba. Lakini pia kuna maswali yanayohusu uelewa wa kazi unayoitaka na pia maswali mengine yanahusu kile ambacho unapaswa kukifanya ktk nafasi yako kazini! Maswali hayo kwa ujumla ni:
1. Knowing about yourself
2. Knowing about the job position
3. Knowing about your strengths
4. Knowing about your weakness
5. Knowing about the your value
6. Knowing about your growth focus

Hongera sana.

Asante sana! Ushauri wako ni muhimu sana!!
 
Hongera sana. Kuna maswali ya yanayohusu tabia za ndani za mtahiniwa na kuna maswali yanayohusu nafasi unayoomba. Lakini pia kuna maswali yanayohusu uelewa wa kazi unayoitaka na pia maswali mengine yanahusu kile ambacho unapaswa kukifanya ktk nafasi yako kazini! Maswali hayo kwa ujumla ni:
1. Knowing about yourself
2. Knowing about the job position
3. Knowing about your strengths
4. Knowing about your weakness
5. Knowing about the your value
6. Knowing about your growth focus

Hongera sana.

Hatoulizwa hayo maswali kwenye aptitute ya TRA
 
Hongera sana. Kuna maswali ya yanayohusu tabia za ndani za mtahiniwa na kuna maswali yanayohusu nafasi unayoomba. Lakini pia kuna maswali yanayohusu uelewa wa kazi unayoitaka na pia maswali mengine yanahusu kile ambacho unapaswa kukifanya ktk nafasi yako kazini! Maswali hayo kwa ujumla ni:
1. Knowing about yourself
2. Knowing about the job position
3. Knowing about your strengths
4. Knowing about your weakness
5. Knowing about the your value
6. Knowing about your growth focus

Hongera sana.

Mkuu hayo maswali yapo kwenye Oral.. written ni mambo aptitude test tu hawaulizi swali lolote kuhusiana na TRA wala job position .. ni mwendo wa geography, History,English, Maths na General knowledge tu.
 
Tarehe imekaa vizur sana hii! Ina namba za Bahati
 
Habari za jioni wadau??

TRA wameanza kuita watu kwenye usaili!!

Nimepokea mail toka kwao,wakiniomba nikachape usaili wao tarehe 12/12/14!

Post ya kazi ni Assistant Tax Officer!!
Vitu vya kwenda navyo siku ya interview ni
1.Barua ya kuitwa kuhudhuria usaili!
2. Picha mbili za passport size!!
3.Vyeti Original
4. Cheti cha kuzalia
5. Kikokotozi!

Naombeni msaada wenu pls! Maswali yanakuaje,maana kabla ya kwenda vitani,mchunguze kwanza adui yako anatumua zana zipi za maangamizi!!

Na me nimeitwa nafasi ya preventive assistant, ila nimeogopa baada ya kuona kuna hesabu, jaman kwa mwenye uzoefu na hawa watu atuambie ni hesabu gan zinazotoka kwenye interview za TRA
 
Then hiyo nafasi ya preventive assistant unafanya kaz zip? Msaada wenu jaman
 
hakuna kazi mbovu kama hiyo。bora urudi.kijijin kulima
 
mtu yeyote asiwakatishe tamaa eti kazi fulan (ass. Preventive officer) ni mbaya c kweli. me nipo kwny hyo post na kazi ninazofanya ni exactly da same kama za Ass. Customs Officer........ jipangeni vizuri coz paper zao zinahitaji brain iliyotulia na tambua kwamba ushindani ni mkubwa sana so lazima upambane sana ufanye vizuri zaidi.. karibuni mamlaka
 
Back
Top Bottom