TRA wameanza kuita watu kwenye usaili

TRA wameanza kuita watu kwenye usaili

SIOMIMI

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2012
Posts
326
Reaction score
66
Habari wadau, poleni na majukumu, hatimaye TRA wameanza kuita watu kwa usaili utakaofanyika tarehe 11 bunju Ilipo NBAA

Updates
Kwa wale waliokua na wasiwasi kuhusu barua tayari TRA wameishatuma kwenye email zenu angalieni

UPDATES
Nimeambatanisha files zenye kada zote zilizofanya usaili

UPDATES
Kwa wale waliofanya interview ya TRA wameanza kupiga simu ya kwenda kuchukua barua, na unatakiwa mpaka tarehe 16 may uwe umeripoti kituo chako cha kazi
 

Attachments

Assistant tax officer, assistance customs officer
 
Wanapiga simu mdogo wangu kapigiwa simu jana mchana na mdada mmoja anaitwa betty wa TRA.
 
Mie niliomba preventive assistant nayo wameita?
Sina hakika na hizo post kwa sababu zilitoka baadaye, hizi walizoanza kuwapigia watu ni zile zinazo anza na assitant tax officer, assistant preventive officer, assistant customs officer hizi zilitoka mwaka jana
 
Kwa tathimini za haraka, interview itakuwa na watu wengi kama kawaida.
 
Hizi ni post za mwaka jana si zile za costums,preventive, na tax assistant za mwaka huu zile za mwisho miaka 25 za diploma ... Bado wanashortlist kuweni na subira ...mlioaplly mwaka huu..
 
Why wasiweke majina kwenye website hii ya kupiga simu inachukua muda mrefu mtu anaweza akapigiwa siku moja kabla ya interview na kama yuko mkoani inakuwaje badilisheni utaratibu
 
Back
Top Bottom