Huu lazima ni umbea wa kijiweni, mishahara lazima ina ngazi huwezi kukurupuka tu na kusema take home 3M bila kuainisha ni ya mfagiaji au karani au receptionist au Meneja. Kama NSSF wanapokea mshahara sawa kila Idara basi Dr Dau ni janga la kidunia[/QUO
acha uboya nina bro anafanya kazi huko nssf naelewa nachosema...we niaje