Unaweza kuwa mtaalamu kweli kweli, tena kupita wote lakini hiyo wala haimaanishi kwamba huwezi kupotosha!! Hoja yako ingekuwa na msingi endapo ungeweka hapa manufacturer price ili ndipo tuone it's too expensivie kwa bei ya laki 6 to 7.6....
That's your problem an not mine. Wewe uli-quote post yangu ambayo iliweka 180K as gross salary. By rule of thumb, unapo-quote post maana yake ni kwamba unataka kujibu kilichopo kwenye post husika. Sasa basi, ikiwa post uliyokuwa ume-quote inazungumzia 180K as gross salary na wewe ukaweka kwamba 180K ni net basi inaonesha ama huelewi na ikiwa unaelewa basi huwa unakurupuka kujibu hoja bila kuitafakari.
Hutakiwi kufuata mkumbo coz' hili si jukwaa la wafuata mkumbo. Unachotakiwa ni kuelewa mada...ikiwa una-quote post maana yake ni kwamba unataka kujibu post husika na mengine ni nyongeza. Lakini ikiwa post imesema 180K ni gross na wewe ukaitumia hiyo 180K kwamba ni net in the same post; then hapo suluhisho sio kufuata mkumbo bali ku-pay attention to what is in the particular post.
Huwezi kufanya comparison kwa upande mmoja kutumia actual figures na upande wa pili kutumia imaginary figures. Hiyo elf 2 yako ni imaginari figure.
Kama unahisi ni lazima kutumia title, mine is
NasDaz...nakushangaa sijui ni kwanini unapenda kuirudia hiyo title kwangu.
Si kwa sababu TRA wamezichagua bali zinapaswa kutumika kwa mujibu wa sheria...nilikupa changamoto utafute government gazette ambako walitoa specifications zinazohitajika including sifa za dealers na manufacturers.
Tofauti na zamani, hivi sasa teknolojia ina-play part kubwa katika ku-solve matatizo sugu yanayotokana na mwanadamu kutotaka kuwajibika. Baada ya kuonekana watu ni wagumu kulipa bili za umeme; pande hizi zikaanzishwa LUKU! Wakati LUKU zinaingia, watu kama nyinyi msiotaka mabadiliko walikuwa wanapinga matumizi ya LUKU kama mnavypinga hivi sasa! Hadi leo bado nakumbuka jinsi gazeti la Majira lilipokuja na heading kwenye front page kwamba LUKU zilibuniwa SA ili kuwakomoa Black South Africans. Ikiwa watu hawataki kulipa kodi kwa ridhaa zao lazima upatikane mfumo utakaowezesha ukusanyaji huo.
You seem to be unable to comprehend simple facts. I already laid it down to you 180,000 salary is even low by Tanzania Government standard they don't tax these people. all they do is have them under social security. which is a positive for who ever concerend. SO your point of 180,000 NET or 180,000 Gross is NULL and void.
I did not make up any figure YAKHE.180,000 umeizusha wewe ukijdhani utamuonesha huyu mwenye kulipwa laki na themanini ni mnyonge. na hiyo 2,000 kwa siku mtu yoyote aliyewahi hata kuuza karanga anafahamu jinsi ya kukokotoa biahsara yenye mauzo ya 14M kuwork out around that net income to the businessman per day. If you are one of those naive souls who can't seem to tell what Sales,revenue,profit,expenses,gross profit and net profit is then you are in the wrong position to voice your authority. CALM down read everything i wrote to you. YOU WILL discover that 180,000 is 2.16M a year of net income, of which no one will ask a sent from you. NOT EVEN THAT PAYE you so wrongly assumed the government takes from 180,000 gross pay. THEY dont.
for a business who is law abiding and conducts his business in respectable manner with a very commendable net profit of 10%, they will need to have gross sales of no less than 21,600,000 to achieve that. if i were to assume no business goes without renting a place, pay licenses and electricity bills here is a simple breakdwon. and this is for a business person with no staff/help, just themselves
Rent:50,000*12=600,000
Electricity:30,000*12=360,000
Miscelenonous:10,000*12=120,000
Total Main expenses:980,000
This business will incur expenses of around 1M a year.which comes down to around 2,600 a day. Hizi huyu mfanyabiahsara mwenye fremu/duka etc lazima aziingie, kabla hajala yeye wala familia yake.these are entirely operational expenses.and they are not part of "profits". even if you were to assume this money goes into MFANYABIASHARA's Profit hanunui umeme, na ile fremu ni ya mjomba wake, hii ni 2,600 kwa siku. Ukijumlisha na ile 2,000 kwa siku bado anachezea kwenye 4,600 per day. hii ni 136,000 kwa mwezi. Bado yuko chini mno ya mpokea laki moja na themanini isiyo na matumizi ya kiofisi zaidi ya binafsi. Usilete hadithi za daladala na chakula. Kumbuka hata mfanyabiashara anatumbo pia na anapanda hiyo daladala.
so wen you say 180,000 kwa mwezi linganisha na mfanyabiashar amwenye mauzo ghafi yasiyopungua 24,000,000. Kama hujanielewa samahani.
If you understand maths, and are not shy about making a few multiplication you would come down to a very simple realizatoin that 14M of sales a year business is not a HUGE business. It's a Hand to Mouth Business.
I can understand, kuna njemba wakiambiwa huyu anauza 14M kwa mwaka wanaona tajiri ndio huyu.hawajui hizo 14M sio zake za kugawana na mkewe. ni rotation tu ya pesa.kw awabongo ni kazi ku-comprehend pesa kubwa, hasa ile ambayo watu hawajaizoea kuishika kila siku. ndio maana leo hii ni vigumu mtu akiambiwa kuna trillion of galaxies,whith trillions of stars. Our brains tend to lockout huge numbers.
If i were a Tanzanian Business man i would consult a Digital Media Company to break down the 14M in a nice pictorrial, then put it in one of the big publications for common mwananchi to see. TRA are being unfair. YOU dont ask these guys to pay 800,000 for a machine.
wewe kama hujanielewa, rudi nyuma, soma taratibu, utaleewa, haya sio mashindano, sio lazima ushinde, Kila mtu humu ni mlipa kodi, ama kwa hiyari au kwa kulazimishwa, hivyo kuwaita watu wakwepa kodi ni kupiga makelele tu.
they say two things are certain in life Death and Taxes.
adios