Candela
JF-Expert Member
- Aug 12, 2021
- 919
- 2,516
Nimefuatilia kwa muda mrefu na nimeona kuwa hawa watu hawatoi risiti kabisa. Sasa sijajua labda sheria iko hivyo, lakini ukiangalia mauzo yao, wanauza simu moja kwa Sh milioni 3 hadi 5, lakini hawakupi risiti.
Hata ukiomba, wanakuandikia ya mkono na hawana EFD kabisa.
Sasa TRA si walisema kama una mauzo ya Sh 35,000 kwa siku unafaa kuwa na EFD? Kuhusu hawa vipi? Au wao wanalipaje kodi zao?
Hata ukiomba, wanakuandikia ya mkono na hawana EFD kabisa.
Sasa TRA si walisema kama una mauzo ya Sh 35,000 kwa siku unafaa kuwa na EFD? Kuhusu hawa vipi? Au wao wanalipaje kodi zao?