Safari_ni_Safari
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 23,268
- 17,099
Mkuu hawa watu wanalazimisha MAITI kulipa kodi.... kuna jamaa yangu anadaiwa 50m..... unakuta mtu alikuwa na malori anayauza kama vyuma chakavu na leo anadaiwa magari ya tangia 2009..... hapa bila kuonea, hamna mtu anaweza sema gari lake limekuwa scraped kama liko barabarani, hivo kama wanavo update TIN, wange update namba za magari... kama mtu amescrape
gari, aende na barua awaeleze hilo na wao walitoe kwenye system ili wabaki na magari yanayo temebea au amabayo mmiliki anaona yatatembea.... kwa hili wametuumiza sana na
watatuumiza sana.... kwa hili wanalazimisha
MAITI kulipa kodi. ... hata kwenye vitabu takatifu, mmeambiwa mkusanye kodi ya haki.... la sivo mnatenda zambi.....
Nakubaliana na wewe. Ilipaswa kuwe na sheria kama gari hailipiwi leseni miaka mitatu mfululizo basi usajili wake unafutwa. Mwenye gari akitaka kusajili upya ndio apewe huo msala.