TRA Office Assistant posts, Usaili 18 Juni 2016

mapenz matam

JF-Expert Member
Aug 14, 2012
214
256
Habarini wakuu mlioko nyumbani TZ, TRA imeanza kuita vijana kwaajili ya usaili tar 18 JUNE 2016 pale chuo cha kodi dar. so kaeni karibu na simu zenu. post ni za office assistants nawatakieni kila la kheri vijana. ila mkafanye kazi kwa kujituma zaidi na siyo wiz wiz. komaeni tuko pamojaa.
 
Habarini wakuu mlioko nyumbani TZ, TRA imeanza kuita vijana kwaajili ya usaili tar 18 JUNE 2016 pale chuo cha kodi dar. so kaeni karibu na simu zenu. post ni za office assistants nawatakieni kila la kheri vijana. ila mkafanye kazi kwa kujituma zaidi na siyo wiz wiz. komaeni tuko pamojaa.
Wataita vijana wangapi mkuu? Halafu wanahitajika wangapi?
 
Habarini wakuu mlioko nyumbani TZ, TRA imeanza kuita vijana kwaajili ya usaili tar 18 JUNE 2016 pale chuo cha kodi dar. so kaeni karibu na simu zenu. post ni za office assistants nawatakieni kila la kheri vijana. ila mkafanye kazi kwa kujituma zaidi na siyo wiz wiz. komaeni tuko pamojaa.
Office Assistant wa TRA analipwa mshahara kiasi gani?
 
Habarini wakuu mlioko nyumbani TZ, TRA imeanza kuita vijana kwaajili ya usaili tar 18 JUNE 2016 pale chuo cha kodi dar. so kaeni karibu na simu zenu. post ni za office assistants nawatakieni kila la kheri vijana. ila mkafanye kazi kwa kujituma zaidi na siyo wiz wiz. komaeni tuko pamojaa.
kama vile sijaelewa wanaenda bila maombi au wanaitwa watatolewa pale pale
 
Du mie niliomba za hivi karibuni preventive assistant so cjui ndo zenyewe wanaita au
 
Back
Top Bottom