TRA Office Assistant posts, Usaili 18 Juni 2016

TRA Office Assistant posts, Usaili 18 Juni 2016

Office Assistant wa TRA analipwa mshahara kiasi gani?
Mkuu wa kiswahili ni Msaidizi wa Office kazi zake ni Kupika Chai, Kusafisha Vyoo, Kupiga deki ofisi Kuprint Documents mbalimbali,kuwasambazia chai watu maofisini, Kutumwa kupeleka mafaili sehemu kugawa maji hasa wakati wa mikutano mshahara wake si mkubwa sana hiyo kazi pia haitaji mtu aliyesoma sana. FOR ME NAONAGA MTOTO WA KIKE INAMPENDEZA SANA......
 
Habarini wakuu mlioko nyumbani TZ, TRA imeanza kuita vijana kwaajili ya usaili tar 18 JUNE 2016 pale chuo cha kodi dar. so kaeni karibu na simu zenu. post ni za office assistants nawatakieni kila la kheri vijana. ila mkafanye kazi kwa kujituma zaidi na siyo wiz wiz. komaeni tuko pamojaa.[/QU
Hata mimi nishapigiwa simu interview tar 18
 
majina ya watakao itwa huko tra tutayapataje esp hzo za assistance customs

hawa mkuu walishaomba zamani saana nakumbuka bado nikiwa bongo mdogo wangu aliomba ilikuwa mwaka jana . hawakuweka exactly post ngaapi wao waliandika kwa ujumla office assistants
 
Walnipigia simu lakini sikupokea coz sikuskia.je nikienda bila kupokea simu yao watakua wamenikata au bado ntakua kwenye list yao???
Habarini wakuu mlioko nyumbani TZ, TRA imeanza kuita vijana kwaajili ya usaili tar 18 JUNE 2016 pale chuo cha kodi dar. so kaeni karibu na simu zenu. post ni za office assistants nawatakieni kila la kheri vijana. ila mkafanye kazi kwa kujituma zaidi na siyo wiz wiz. komaeni tuko pamojaa.
 
Habarini wakuu mlioko nyumbani TZ, TRA imeanza kuita vijana kwaajili ya usaili tar 18 JUNE 2016 pale chuo cha kodi dar. so kaeni karibu na simu zenu. post ni za office assistants nawatakieni kila la kheri vijana. ila mkafanye kazi kwa kujituma zaidi na siyo wiz wiz. komaeni tuko pamojaa.
hivi mkuu nimeambiwa chuo cha kodi kule mwenge kipo sehemu gani vile tafahdli? maana sipajui
 
Panda gari ziazoenda makumbusho then shuka shuka kituo kinaitwa ITV.ukifika hapo panda bajaji/Bodaboda mwambie naenda chuo cha kodi
hivi mkuu nimeambiwa chuo cha kodi kule mwenge kipo sehemu gani vile tafahdli? maana sipajui
 
Panda gari ziazoenda makumbusho then shuka shuka kituo kinaitwa ITV.ukifika hapo panda bajaji/Bodaboda mwambie naenda chuo cha kodi
hivi unajua huyo jamaa anatokea wapi mpaka umwambie apande gari za makumbusho? ........... sio gar zote za makumbusho zinapitia ITV.
 
Back
Top Bottom