TRA mnataka kodi na kwenye sadaka?

TRA mnataka kodi na kwenye sadaka?

YEHODAYA Acha uongo, msimamizi wa kwanza ameshushwa na kupelekwa mkoani, (mkoa aliopelekwa unahifadhiwa kwa sasa) amepata demotion kwamba hakufanya kazi waliyoitaka ili kumkomoa Kakobe,

FYI ni kwamba huyu msimamizi wa kwanza alifunga uchunguzi na kusema hakuna kodi ya serikali hapa, maana mapato yote ni SADAKA, na SADAKA haitozwi kodi. matokeo ya uchunguzi hayakuwafurahisha mabwana wakubwa, wakampa demotion na kuanza upya uchunguzi kwakupekua nguo. Swali la kujiuliza, mradi gani wa kodi unakaa kwenye nguo???????? hii nchi ya vi-wonder kweli.
Weka ripoti aliyotoa hapa acha porojo si unayo iweke hapa
 
Tatizo ni kusema ana utajiri mkubwakuliko Serikali ya Tanzania, angesema tu wazi kuwa ana utajiri wa 'Kiroho', asingesumbuliwa
 
Bila shaka ya sheria ya kukata kodi sadaka ipo mbioni# CCM Mpya


kukiwa na sheria hiyo itajulika
Weka ripoti aliyotoa hapa acha porojo si unayo iweke hapa


Nadhani sasa hawataendelea na uchunguzi, baada ya Ibada ya Jumapili, na Kakobe kuwageuzia kibao. sidhani kama watakuwa interested kuendelea, nadhani wataishia kimya kimya bila hata press conference.
 
Kageuza kibao gani sema hapa alichosema,watu wote sio waumini wakwake,alipotangaza ana mali kuliko serikali si alitangaza kny vyombo vya habari,hicho kibao nacho atangaze tukisikie,asilete porojo,serikali sio kijiwe cha kahawa.
 
kukiwa na sheria hiyo itajulika



Nadhani sasa hawataendelea na uchunguzi, baada ya Ibada ya Jumapili, na Kakobe kuwageuzia kibao. sidhani kama watakuwa interested kuendelea, nadhani wataishia kimya kimya bila hata press conference.
Unaota hapo uchunguzi ndio utapamba moto uchunguzi wao ni kama wa kimahakama wakiwa kwenye uchunguzi hawatakiwi kuongea chochote hadi ukamilike.Ni marufuku ofisa yeyote wa serikali kuongelea uchunguzi kabla ya kukamilika na ripoti kutoka iwe wanachunguza mhamiaji haramu nk Sasa wataingia Ndani zaidi akisema hana akaunti Ndani ya nchi na nje ya nchi je nako hana za kwake ,za familia au za kanisa? Subiri tulia Wataalamu wa uchunguzi sio waropokaji kama Kakobe Nikumegee kitu wachungaji wengi wa Kakobe wanataka sana uchunguzi wa sadaka unaofanywa na TRA.Sadaka zinazokusanywa makanisani kwao mikoani zinaishia kwa kakobe makao makuu .Badala ya kusaidia makanisa mahali husika zilipokusanywa.Kuna mambo subiri ripoti ya TRA.TRA watafuatilia hadi senti ya mwisho iwe ya Ndani ya nchi au nje ya nchi.Kuna kazi wanafanya open zingine behind the scene.Na maadili ya kazi hawaruhusiwi kuongea hadi ripoti itoke isainiwe na makubwa zao
 
Mambo hayo. Makanisa mengine je? Wakatoliki nao wanakaguliwa?
 
Unaota hapo uchunguzi ndio utapamba moto uchunguzi wao ni kama wa kimahakama wakiwa kwenye uchunguzi hawatakiwi kuongea chochote hadi ukamilike.Ni marufuku ofisa yeyote wa serikali kuongelea uchunguzi kabla ya kukamilika na ripoti kutoka iwe wanachunguza mhamiaji haramu nk Sasa wataingia Ndani zaidi akisema hana akaunti Ndani ya nchi na nje ya nchi je nako hana za kwake ,za familia au za kanisa? Subiri tulia Wataalamu wa uchunguzi sio waropokaji kama Kakobe Nikumegee kitu wachungaji wengi wa Kakobe wanataka sana uchunguzi wa sadaka unaofanywa na TRA.Sadaka zinazokusanywa makanisani kwao mikoani zinaishia kwa kakobe makao makuu .Badala ya kusaidia makanisa mahali husika zilipokusanywa.Kuna mambo subiri ripoti ya TRA.TRA watafuatilia hadi senti ya mwisho iwe ya Ndani ya nchi au nje ya nchi.Kuna kazi wanafanya open zingine behind the scene.Na maadili ya kazi hawaruhusiwi kuongea hadi ripoti itoke isainiwe na makubwa zao


Huijui FGBF, Humjui Kakobe; Kama ungelifahamu mfumo wa Kanisa , kamwe usingeweza kufunua kinywa chako kuongea upumbavu huu. Jitahidi ufanye uchunguzi na wewe , kisha uje na hitimisho lako. hawataona kosa wa lolote kama hayo.

Danieli 6:4 Basi mawaziri na maamiri wakatafuta sana kupata sababu za kumshitaki Danieli kwa habari za mambo ya ufalme; lakini hawakuweza kuona sababu wala kosa; kwa maana alikuwa mwaminifu, wala halikuonekana kosa wala hatia ndani yake.

Kama Mungu anakupa neema ya kuendelea kuishi basi kodoa macho yako, na fungua masikio yako huku ukisubiri report ya TRA.
 
Sadaka tena? Msicheze na Mungu maana akikasirika hamtabaki salama
Mungu yupi anaegombania sadaka?mathayo 12:7 Lakini kama mngalijua maana yake maneno haya nataka rehema ,wala si sadaka,msingaliwalaumu wasio na hatia.Mungu wa kweli hagomaniani sadaka na muumini wake .Mungu anataka watu watende matendo mema na si sadaka.
 
Huijui FGBF, Humjui Kakobe; Kama ungelifahamu mfumo wa Kanisa , kamwe usingeweza kufunua kinywa chako kuongea upumbavu huu. Jitahidi ufanye uchunguzi na wewe , kisha uje na hitimisho lako. hawataona kosa wa lolote kama hayo.

Danieli 6:4 Basi mawaziri na maamiri wakatafuta sana kupata sababu za kumshitaki Danieli kwa habari za mambo ya ufalme; lakini hawakuweza kuona sababu wala kosa; kwa maana alikuwa mwaminifu, wala halikuonekana kosa wala hatia ndani yake.

Kama Mungu anakupa neema ya kuendelea kuishi basi kodoa macho yako, na fungua masikio yako huku ukisubiri report ya TRA.
kakobe huyu huyu aliesoma mkwawa,aliekua mcheza disko mahiri,au mwingine? Na kama unasema hawamjui mtambulishe ajulikane asitembee gizani,atembee nuruni,na kama ni mtu wa nuruni utajulikana tu,na hayo ya kuwaita wenzio wapumbavu ndio unajidhiirisha yaliokujaa moyoni,kuwa giza limetanda,ukristo sio kutukanana bali kuelimishana juu ya roho wa Mungu ili watu wapone ,na si kujigamba,na serikali kupitia vyombo vyake hawana sababu ya kumtafutia kosa lolote ,yeye mwenyewe kakobe kadeclear anapesa kuliko serikali ,ulitaka serikali ifanyeje?ikae kimya? Lazima ikague uhalali wa kumiliki pesa kuliko serikali,na kama kuna mapato ya serikali wayachukue,sasa mnashangaa nini?mnalalamika nini? Hii sio serikali dhaifu.kakobe ni nani mpaka wamtafutie kosa? TANZANIA ina watu wangapi?yeye mwenyewe kaongea maneno ya kudraw attention kwenye vyaombo vya serikali,au ilikua anatafuta kiki?Mwache aisome namba vizuri.
 
Back
Top Bottom