DR. MWAKABANJE
JF-Expert Member
- Nov 7, 2012
- 1,986
- 3,150
Habari ya kumhamisha ofisa TRA aliyesema mjadala ufungwe ni kweli??Watu wanashangaa TRA kukagua hadi nguo zote nyumbani za familia yote.Ni kawaida sio matajiri wakubwa wote huweka pesa benki au kwenye miradi .Wengine utajiri wao huutumia kwenye mavazi.mfano unakuta mke ana chain ya almasi ya bilioni kadhaa au mkufu wa dhahabu wa kuvaa kiunoni au miguuni wa bilion kadhaa au ana nguo za bei ya mamilioni ya shilingi.Kule kusasambua masanduku ya nguo za kakobe ni kujhakikishia thamani ya hizo Mali zake ziwemo nguo zake za Ndani. MTU akisema yeye tajiri kuliko serikali Mali zake zote zikiwemo chupi inabidi zifanyiwe tathmini na TRA ili kupata jumla ya utajiri wake na wa familia yake una thamani ya shilingi ngapi .Kakobe kayataka akiambiwa usichanganye dini na siasa hasikii.TRA waacheni wafanye kazi mwisho watatoa ripoti. Unaweza kuta Kakobe ana SAA ya mikononi yenye thamani ya bilioni kadhaa. Na akawa MTU anayevaa SAA ya ghali kuliko MTU yeyote duniani.