Jamani juzi nilienda kulipia road licence ya gari yangu nikaambiwa nilipe na shs 30,000 ya stika ya fire. Je hii ni halali TRA kuchukua pesa zetu bila hata taarifa??? Kibaya zaidi hawakupi hiyo stika wala mtungi wa fire, eti mpaka uende fire ndo wakakague mtungi wako wa fire then wakupe stika. Huu ni wizi wa watanzania jamani??????????????????