TRA Tanzania
Member
- Jul 16, 2022
- 78
- 223
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) inapenda kuujulisha Umma kuwa, haijahusika kwa namna yoyote na ufungaji wa Bar ya THE CASK iliyopo Jijini Mwanza.
Tunaomba wahusika na Umma wawasiliane na Mamlaka husika juu ya jambo hilo.
-
Pia soma
Tunaomba wahusika na Umma wawasiliane na Mamlaka husika juu ya jambo hilo.
-
Pia soma