TRA geti namba 2 bandarini kulikoni?

TRA geti namba 2 bandarini kulikoni?

dali kimoko

Senior Member
Joined
Jan 25, 2021
Posts
114
Reaction score
139
Mamlaka ya mapato tunataka kujua tatizo ni nini pale bandarini gate #2 gari za transit tangu jana hazijatoka kuna nini?

Hebu muwe na huruma hawa watu ni wageni pengine hata bajeti yao haiwaruhusu kukaa siku nyingi, ondoeni hii kero hizo tracking seal kama hamko tayari bora zitoeni tuendelee kupita check points

Nadhani mmnenisikia tunataka gari zianze kutoka now na hicho kitu kisijiurudie tena, maana tangu taarifa za msiba wa JPM basi na nyie mna-relux eh.
 
Viongozi na watendaji wa serikali n watu wakusukumwa bila kalipio n shida Sana n kweli nipo hapa bandar pia naona kinachoendelea polen sna
 
Piga simu takukuru waje hapo km wanataka rushwa wawarumate.
 
Washaanza kutengeneza mazingira ya upigaji goli si lipo wazi kwa sasa.
 
HABARI ZENU, NARUDI TENA KWENU FORODHA TATIZO NI NINI PALE BANDARINI GATE NO 2? HASA GARI ZA TRANSIT HAMUIONI HIO CONGESTION, TUNAOMBA MAMLAKA HUSIKA INGILIENI KATI HII ISSUE, NADHANI SASA TURUHUSU DRY PORTS ZIPOKEE MAGARI KAMA HALI NDIO HII.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom