dali kimoko
Senior Member
- Jan 25, 2021
- 114
- 139
Mamlaka ya mapato tunataka kujua tatizo ni nini pale bandarini gate #2 gari za transit tangu jana hazijatoka kuna nini?
Hebu muwe na huruma hawa watu ni wageni pengine hata bajeti yao haiwaruhusu kukaa siku nyingi, ondoeni hii kero hizo tracking seal kama hamko tayari bora zitoeni tuendelee kupita check points
Nadhani mmnenisikia tunataka gari zianze kutoka now na hicho kitu kisijiurudie tena, maana tangu taarifa za msiba wa JPM basi na nyie mna-relux eh.
Hebu muwe na huruma hawa watu ni wageni pengine hata bajeti yao haiwaruhusu kukaa siku nyingi, ondoeni hii kero hizo tracking seal kama hamko tayari bora zitoeni tuendelee kupita check points
Nadhani mmnenisikia tunataka gari zianze kutoka now na hicho kitu kisijiurudie tena, maana tangu taarifa za msiba wa JPM basi na nyie mna-relux eh.