Akilinjema
JF-Expert Member
- Aug 9, 2016
- 11,433
- 11,747
Haya mambo aliyaweza Magufuli. Now enzi za jakaya zimerudi tuendelee kula bata. Si mlitaka maisha mepesi haya sasa yamerudi
Lakini ushauri wa bure ni bora wakalipa kodi stahiki kwa wakati na kufanya compliance zote kwa mujibu,
Wakiacha kufanya hivyo atakuja kiongozi Mkuu mwingine mwenye kaliba ya JPM akataka kuanzia nyuma yaani sasa na kuanza kufukua makaburi nakwambia kuna watu watapoteza maisha kabla ya wakati wao!
Hapo task forces zitakapoanzishwa heeee sipati picha .
Tulipe kodi bila shuruti kwa mujibu kwa maendeleo ya Taifa letu .
Nyakati kama hizi kuna wengine hawachukulii maanani swala la kulipa kodi na compliances kwa mujibu maaana si wameambiwa tra wasiwabughudhi ?!
Sawa lakini?!