TRA fanyeni kazi yenu kwa ufanisi! Watu hawaombi risiti na wenye maduka hawatoi risiti kikamilifu!

Haya mambo aliyaweza Magufuli. Now enzi za jakaya zimerudi tuendelee kula bata. Si mlitaka maisha mepesi haya sasa yamerudi


Lakini ushauri wa bure ni bora wakalipa kodi stahiki kwa wakati na kufanya compliance zote kwa mujibu,
Wakiacha kufanya hivyo atakuja kiongozi Mkuu mwingine mwenye kaliba ya JPM akataka kuanzia nyuma yaani sasa na kuanza kufukua makaburi nakwambia kuna watu watapoteza maisha kabla ya wakati wao!

Hapo task forces zitakapoanzishwa heeee sipati picha .

Tulipe kodi bila shuruti kwa mujibu kwa maendeleo ya Taifa letu .

Nyakati kama hizi kuna wengine hawachukulii maanani swala la kulipa kodi na compliances kwa mujibu maaana si wameambiwa tra wasiwabughudhi ?!

Sawa lakini?!
 
Lakini ushauri wa bure ni bora wakalipa kodi stahiki kwa wakati na kufanya compliance zote kwa mujibu,
Wakiacha kufanya hivyo atakuja kiongozi Mkuu mwingine mwenye kaliba ya JPM akataka kuanzia nyuma yaani sasa na kuanza kufukua makaburi nakwambia kuna watu watapoteza maisha kabla ya wakati wao!

Hapo task forces zitakapoanzishwa heeee sipati picha .

Tulipe kodi bila shuruti kwa mujibu kwa maendeleo ya Taifa letu .

Nyakati kama hizi kuna wengine hawachukulii maanani swala la kulipa kodi na compliances kwa mujibu maaana si wameambiwa tra wasiwabughudhi ?!

Sawa lakini?!
Umeeleweka sana mkuu
 
Juma mosi nilienda kariakoo kununua bidhaa kwenye duka linalomirikiwa na mtu mwenye asili ya kichina mara baada ya kufika muuzaji akamiambia yafatayo

▪︎Kitu unachotaka kununua ni cha laki na hamsini ila bila risiti laki na thelathini elfu

▪︎Na ukitaka bila risiti kabisa ni laki na ishirini elfu. Wakati niko pale akaja mtu anachukua pisi kama 20 za hiyo bidhaa yule dada akaniambia kaka unamuona huyu pamoja na kwamba anachukua pisi ishirini tunamwandikia risiti ya laki tano ya kutembea nayo iwapo akikutana na TRA isiwe usumbufu kwake!.

▪︎ Nilijiuliza sana kwa jinsi yule dada wa kichina anavyokuwa akiprint risiti za uongo mbele yetu watanzania na je ingekuwa mtanzania yuko huko kwao akifanya hivo ingekuwaje?

OMBI
•Naomba sana serkali iendelee kutoa elimu kwa wananchi kuhusu umuhimu wa kulipa kodi ikiwa ni pamoja na kuomba risiti na hii itasaidia vijana wetu kukua na mtazamo huo wa kutoa kodi!

•serkali ijikite katika kuwafatilia wafanya biashara pasipo kuchoka maana ukwepaji wa kodi upo kwa kiasi kikubwa sana saizi maana anapouza bila kutoa risiti anaiibia serkali

•Serkali itambue bila kuwazoesha watanzania hususani wafanya biashara kutoa kodi kwa uaminifu itapoteza mapato mengi sana!

•Serkali itambue kama mwananchi wa kawaida a anakatwa tozo hivo hivo na mfanya biashara kama ilivo kwa mfanya kazi ni lazima alipe kodi ya serkali!

•Serkali itambue pia kwenye suala la kodi hakuna urafiki hapo kuna uwajibikaji kwa kila upande bila kupepesa macho.

•Serkali iachane na kujipendekeza kwa watu ili kuomekana kuwa ni serkali nzuri ndio maana Mwalimu Nyerere alisema serkali fisadi haikusanyi kodi!

•RAIS SAMIA kwenye hili uwe mkali na mwelevu tofauti na hapo mambo yatakuwa mabaya sana hapo baadae yaani watu hawaombi wala kutoa risiti!

HITIMISHO

Watanzania tuweni wazalendo pamoja na serkali kufanya kazi yake kikamirifu ya kukusanya kodi kupitia TRA. Na hii itatuepusha kukimbizana na watu wa hali ya chini kwa kuweka tozo zisizo na msingi
Eh Mungu msamehe huyu mtu hajui alitendalo.
 
Hii ni changamoto sana na ni ngumu kuidhibiti kwakutumia sheria ama taratibu zinazoendelea kutumika sasa.

Hapa kuna anayehitaji Pesa na anayehitaji mahitaji, kama hawa wataelewana unadhani kuna atakayetamani kumshtaki mwenzake maadam hakuna anayeamini kadhurumiwa. Kumbuka mtaka pesa yuko radhi asikupe mzigo kama unataka risiti, chukulia umeshausafiria huo mzigo na gharama za hapa na pale je utauacha?

Tutauimba uzalendo mpaka verse zitaisha ila bila kumpa motisha huyu mzalendo mtamlaumu bure.


#NAPENDEKEZA :
TRA wawe wanafilisi mali papo hapo inapobainika haijatolewa risiti na Fain juu
Iwe kwa mteja ukiwa na ushahidi wa kuuziwa bidhaa bila risiti au risiti iliuyoandikwa bei pungufu na uliuoitoa, unawajulisha TRA wanafika Dukani, unarudishiwa hela yako na mzigo unaondoka nao, na muuzaji atashtakiwa kwa kukwepa kodi ama kumuibia mteja.

Na kama muuzaji utakua una una ushahidi wa mteja ajataka risiti, ukitoa taharifa akakamatwa mzigo unarudi dukani na unashtakiwa kwa wizi.

Huo ndio ushauri wangu unaotokana na njaa ya mchana huu.
 
Juma mosi nilienda kariakoo kununua bidhaa kwenye duka linalomirikiwa na mtu mwenye asili ya kichina mara baada ya kufika muuzaji akamiambia yafatayo

▪︎Kitu unachotaka kununua ni cha laki na hamsini ila bila risiti laki na thelathini elfu

▪︎Na ukitaka bila risiti kabisa ni laki na ishirini elfu. Wakati niko pale akaja mtu anachukua pisi kama 20 za hiyo bidhaa yule dada akaniambia kaka unamuona huyu pamoja na kwamba anachukua pisi ishirini tunamwandikia risiti ya laki tano ya kutembea nayo iwapo akikutana na TRA isiwe usumbufu kwake!.

▪︎ Nilijiuliza sana kwa jinsi yule dada wa kichina anavyokuwa akiprint risiti za uongo mbele yetu watanzania na je ingekuwa mtanzania yuko huko kwao akifanya hivo ingekuwaje?

OMBI
•Naomba sana serkali iendelee kutoa elimu kwa wananchi kuhusu umuhimu wa kulipa kodi ikiwa ni pamoja na kuomba risiti na hii itasaidia vijana wetu kukua na mtazamo huo wa kutoa kodi!

•serkali ijikite katika kuwafatilia wafanya biashara pasipo kuchoka maana ukwepaji wa kodi upo kwa kiasi kikubwa sana saizi maana anapouza bila kutoa risiti anaiibia serkali

•Serkali itambue bila kuwazoesha watanzania hususani wafanya biashara kutoa kodi kwa uaminifu itapoteza mapato mengi sana!

•Serkali itambue kama mwananchi wa kawaida a anakatwa tozo hivo hivo na mfanya biashara kama ilivo kwa mfanya kazi ni lazima alipe kodi ya serkali!

•Serkali itambue pia kwenye suala la kodi hakuna urafiki hapo kuna uwajibikaji kwa kila upande bila kupepesa macho.

•Serkali iachane na kujipendekeza kwa watu ili kuomekana kuwa ni serkali nzuri ndio maana Mwalimu Nyerere alisema serkali fisadi haikusanyi kodi!

•RAIS SAMIA kwenye hili uwe mkali na mwelevu tofauti na hapo mambo yatakuwa mabaya sana hapo baadae yaani watu hawaombi wala kutoa risiti!

HITIMISHO

Watanzania tuweni wazalendo pamoja na serkali kufanya kazi yake kikamirifu ya kukusanya kodi kupitia TRA. Na hii itatuepusha kukimbizana na watu wa hali ya chini kwa kuweka tozo zisizo na msingi!
Hata ukitoa risiti kwa haki kodi hatuoni inacho fanyia kazi bora ibaki kwetu tu
 
#NAPENDEKEZA :
TRA wawe wanafilisi mali papo hapo inapobainika haijatolewa risiti na Fain juu
Hili pendekezo ni zuri kwa pesa ya haraka na kukomoana ila halina going concern. Ukishamfilisi mtu anafunga biashara halafu unapata pesa hapo hapo ila unapoteza nyingine za mbele. Piga faini andika kwenye assesment alipe.
 
Hii ni changamoto sana na ni ngumu kuidhibiti kwakutumia sheria ama taratibu zinazoendelea kutumika sasa.

Hapa kuna anayehitaji Pesa na anayehitaji mahitaji, kama hawa wataelewana unadhani kuna atakayetamani kumshtaki mwenzake maadam hakuna anayeamini kadhurumiwa. Kumbuka mtaka pesa yuko radhi asikupe mzigo kama unataka risiti, chukulia umeshausafiria huo mzigo na gharama za hapa na pale je utauacha?

Tutauimba uzalendo mpaka verse zitaisha ila bila kumpa motisha huyu mzalendo mtamlaumu bure.


#NAPENDEKEZA :
TRA wawe wanafilisi mali papo hapo inapobainika haijatolewa risiti na Fain juu
Iwe kwa mteja ukiwa na ushahidi wa kuuziwa bidhaa bila risiti au risiti iliuyoandikwa bei pungufu na uliuoitoa, unawajulisha TRA wanafika Dukani, unarudishiwa hela yako na mzigo unaondoka nao, na muuzaji atashtakiwa kwa kukwepa kodi ama kumuibia mteja.

Na kama muuzaji utakua una una ushahidi wa mteja ajataka risiti, ukitoa taharifa akakamatwa mzigo unarudi dukani na unashtakiwa kwa wizi.

Huo ndio ushauri wangu unaotokana na njaa ya mchana huu.
Huyo mfanyakazi wa TRA akikuta mzigo hauna risiti anapewa elfu 10 anaachia mzigo.

Hii ndio Tanzania karibu sana
 
Tuwe makini yasije yakatukuta Yale ya Sirilanka ambayo mpaka sasa wameshindwa hata kununua mafuta ya kuendeshea mitambo, magari na matumizi ya kila siku...
 
Yapo maduka kibao hasa yale yasiyobebeleza mteja ukitaka rist wanakwambia machine mbovu au anayetoa rist hayupo, bado wanakuuliza kwahiyo???, kazi inabaki kwako ununue au uache, ukiacha hiyo bidhaa hauipati kwingine.
 
Back
Top Bottom