Wazolee
JF-Expert Member
- Sep 1, 2018
- 2,701
- 3,091
Kwa Sasa kilio kikubwa Cha wananchi mitaani hususani wafanya biashara wenye maduka ni kupanda Kwa ushuru wa takataka kutoka tshs 2000 Hadi 5000, 10000 na wengine 20000 Kwa mwezi haijalishi unazalisha taka kiasi gani
Wife ana duka la vitambaa maeneo ya Mbagala mfuko wake wa takataka unaweza ukafika mwezi hauja Jaa kwahiyo hiyo pesa ni kama anatoa sadaka
Jamaa anayekusanya pesa za takataka nilimuuliza Kwa nini mmepandisha sana ushuru wa takataka Kwa wenye maduka akasema ni agizo kutoka Kwa mkurugenzi wa wilaya ya Temeke na ukweli ni kwamba hata sisi tunaokusanya tunapata wakati mgumu sana na tunaona kabisa sio haki ila hatuna la kufanya
Na akasema kibaya zaidi huyo mkurugenzi ameagiza asilimia 18 ya makusanyo iende wilayani akaniambia nielewe vizuri hapa sio 18% ya faida ila ni 18% ya makusanyo Yani haijalishi tumepata faida au hasara wao wanataka 18%
Ukiangalia zile mashine walizopewa na hao wakurugenzi hazitoi control namba ila zinatoa risiti hili linaonyesha kabisa kama hapa Kuna upigaji
Kwanini wanaopewa dhamana ya uongozi katika nchi hi wanakuwa hawana huruma Kwa wananchi na kuwaongezea mizigo Kila siku
Mfanya biashara akienda tu TRA anakutatana na Kodi ya pango 10% hawezi kufanya chochote bila kulipia hiyo Kodi ya pango alafu eti anaanbiwa ukamwambie mwenyewe nyumba wako akurudishie hata hao TRA wanajua kuwa hi Kodi anayelipa ni mfanya biashara na sio mwenye nyumba
Akitoka hapo inakuja Kodi ya makadirio analipa
Akienda manispaa analipia leseni hiyo leseni hapati Hadi alipe Kodi ya service Levy
Akirudi nyumbani anakutatana na ushuru wa takataka 5000 au 10000 Kila mwezi
Mwenyekiti wa mtaa nae anakuja kuchukua 2000 ya ulinzi Kila mwezi
Haya mambo ndio Kuna kipindi wananchi walichoka na wakawapa kura zao wapinzani sio kama wapinzani walikuwa na sera mzuri hapana ila ni Kwa sababu wananchi waliyachoka mambo yanayofanywa na serikali ya CCM
Wife ana duka la vitambaa maeneo ya Mbagala mfuko wake wa takataka unaweza ukafika mwezi hauja Jaa kwahiyo hiyo pesa ni kama anatoa sadaka
Jamaa anayekusanya pesa za takataka nilimuuliza Kwa nini mmepandisha sana ushuru wa takataka Kwa wenye maduka akasema ni agizo kutoka Kwa mkurugenzi wa wilaya ya Temeke na ukweli ni kwamba hata sisi tunaokusanya tunapata wakati mgumu sana na tunaona kabisa sio haki ila hatuna la kufanya
Na akasema kibaya zaidi huyo mkurugenzi ameagiza asilimia 18 ya makusanyo iende wilayani akaniambia nielewe vizuri hapa sio 18% ya faida ila ni 18% ya makusanyo Yani haijalishi tumepata faida au hasara wao wanataka 18%
Ukiangalia zile mashine walizopewa na hao wakurugenzi hazitoi control namba ila zinatoa risiti hili linaonyesha kabisa kama hapa Kuna upigaji
Kwanini wanaopewa dhamana ya uongozi katika nchi hi wanakuwa hawana huruma Kwa wananchi na kuwaongezea mizigo Kila siku
Mfanya biashara akienda tu TRA anakutatana na Kodi ya pango 10% hawezi kufanya chochote bila kulipia hiyo Kodi ya pango alafu eti anaanbiwa ukamwambie mwenyewe nyumba wako akurudishie hata hao TRA wanajua kuwa hi Kodi anayelipa ni mfanya biashara na sio mwenye nyumba
Akitoka hapo inakuja Kodi ya makadirio analipa
Akienda manispaa analipia leseni hiyo leseni hapati Hadi alipe Kodi ya service Levy
Akirudi nyumbani anakutatana na ushuru wa takataka 5000 au 10000 Kila mwezi
Mwenyekiti wa mtaa nae anakuja kuchukua 2000 ya ulinzi Kila mwezi
Haya mambo ndio Kuna kipindi wananchi walichoka na wakawapa kura zao wapinzani sio kama wapinzani walikuwa na sera mzuri hapana ila ni Kwa sababu wananchi waliyachoka mambo yanayofanywa na serikali ya CCM