TPA yaruhusu rasmi magari kuhifadhiwa kwenye bandari kavu (ICDV) kupunguza msongamano

Offshore Seamen

JF-Expert Member
Mar 9, 2018
5,057
12,875
Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) imeruhusu rasmi kuanzia tarehe 24 October 2022, magari kupelekwa kwenye bandari kavu za nje za kuhifadhia magari kwa ajili ya kupunguza msongamano wa magari ndani ya bandari ili kuongeza ufanisi.

Chini ni tangazo rasmi kutoka website ya bandari na gazeti ya Daily News 28/10/2022.



Mteja hatousika kwenye gharama za uhamishaji, gharama zitabaki kama awali.

Hii itapelekea kuzalisha nafasi za muda kwa madereva watakaokuwa wakihamisha magari kutoka bandarini kwenda Bandari kavu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…