FIganiga unanishangaza sana hivi unategemea simba watashinda?si tulishaacha kushabikia matimu ya kibongo bora tuangalie nchi za wenzetu unatafuta presha bure
TP Mazembe ni timu ambayo huwa inaupiga kwenye FIFA Club World Cup Soccer,last year nadhani walitolewa na AC Milan...Miye nilikuwa mshabiki wa Simba ila cjafuatilia kwa muda,sidhani kama they hold a chance over TP Mazembe.
Kwa mpira unaoonekana sasa, Simba kufungwa goli zaidi ya 3 ni vigumu, hawaonekani kuzidiana sana, ni uzembe as usual, mpaka unatamani uingie uwanjani uwacharaze bakola
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.