Japo mi ni Simba, sina ujasiri huu wako, Kaseja kama boya golini
Hongera kwa kuwa mshabiki makini. Itakusaidia sana ukiyatambua mapungufu yako.Japo mi ni Simba, sina ujasiri huu wako, Kaseja kama boya golini
Subutu labda wachezaji wa simba wanyweshwe maji ya Loliondotutayarudisha tu haya
ni mapumziko bao ni bado 2 kwa nunge
nina uhakika kocha atakua ameona makosa yote na keshawapa maagizo ..Second time tunarudi na kuwapigamh sidhani,yanh vijana wa simba wanabutua butua tu,mtu anapiga mpira wala haangalii unampata nani!yanh pasi ni zero.let us wait and see the 2nd half
mh sidhani,yanh vijana wa simba wanabutua butua tu,mtu anapiga mpira wala haangalii unampata nani!yanh pasi ni zero.let us wait and see the 2nd half